Sasa naanza kuona utofauti kati yangu na wanaume wengine! Nimepoteza hisia za kimapenzi kwa tubinti ambatwo mkifahamiana leo, kesho kutwa mzinga!
Hisia zimehamia kwa wake za watu sasa! Kwa mara ya kwanza nilifanya kutafuta mwanamke anaejielewa ili kuupoza moyo na madonda yaliyonikumba previous! Sasa ushakuwa ugonjwa!
Hapa mtaani, niliwalia rada wanne, na wote washanitunuku, sikupigwa mizinga, bali ni vizawadi vya hapa na pale, sanasana kijora cha 12,000 tu!
Ukutane na huyo mwanamama kaufungasha, kautupia mdera wake, yanas.uguana tu anapotembea, hawana mambo mengi kabisa! Ila vijibinti utavikuta na lip shine nyekundu midomoni, kama midoli, hisia zinapita kushoto [emoji34]
Nowdays nimekuwa addicted, hisia na vibinti sina kabisa!
Siku zinavyozidi kwenda, nahisi kuangukiwa na kitu kizito chenye ncha kali hapa uswahilini! Maake wake za watu ndo wanaongoza kwa mitego na ushawishi! Hawana vizinga kabisaaa! [emoji39][emoji39]