Nimeandikiwa msg hii!

Hiyo writing mmh kweli chuo ameenda kusomea ujingaπŸ˜€

Ila nemuelewa kasema koma kabisa kummendea na mpua wako huo kama bakuliπŸƒβ€β™€οΈ
Duuu!!!, Pua kama bakuli mmmmmh πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
We dada wewe......πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Hili jina Chuo Kikuu linhetafutiwa maana nyingine.
 
Duuu!!!, Pua kama bakuli mmmmmh πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
We dada wewe......πŸ™†πŸ™†πŸ™†πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Dah don't take it too serious mkuu! Mimi nimetafsiri nilichokielewa kutoka hiyo sms ya mdadaπŸ˜‚ wewe umeelewaje?
 
Hapana,kusema kuwa anapua kama sahan una udhibitisho?.,..Mnyakyusa mwenye saut ya kokoto aliekuwazisha mwaka mzima
Pua kama sahani tena? Umeona na wewe unavyomvaa mwanaume mwenzio?, kwahiyo kama namuwaza mwaka mzima ndiyo sitakiwi kucomment chochote kwenye nyuzi? Nikae kama nipo eda? Aah mkuu life is too short afu hapo mimi nilitania na ndyo maana mleta uzi akaishia kucheka, sasa naona wewe ndiyo umenivaa mimi unanifokea. Usinifokee bana na kama umemind meza tikiti.
 
Nafikiri umeanza mahusiano mapema sana, na pia tafuta kila njia ya kufanya maamuzi yako binafsi....

Respect brother......
 
Kwa hyo mkuu umeamua nivaa kwa kukukumbusha ya nyuma?nisamehe mkuu,it was not ma intention,nlikuwa natania tu pia
 
Kama niendelee kukaza au!
Acha ufala kashasema ana mtu wake hakuitaji


Mara nyingi ma single majibu yao yanajulikana mfano siitaji kuwa na mtu sasa ,hao sikuhitaj ,husikii akitaja mtu so huwa tunaendelea kukaza


Huyo yupo specific
 
Kwa hyo mkuu umeamua nivaa kwa kukukumbusha ya nyuma?nisamehe mkuu,it was not ma intention,nlikuwa natania tu pia
Sitakii wewe ndiye unanivaa mimi! Ya nyuma wala hata hayahusiani na mada, we ni mkorofi tu, nna kosa gani kumwambia kuhusu pua yake ilivo kubwa? Nimekusamehe ila sitokusahau Kill boyπŸ™„
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…