Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
Katika kutafta fadhila za mwezi huu,nimeona heri ni waalike mje kula daku,kutokana na ftari wengi washajitolea kufutulisha ,acha na mie niwalishe Daku ,kwa mwenye kuweza karibu mida Sita usiku...