Maamuzi magumu.Asante ndugu, ni maamuzi tu
Kaka upo? Sijakuona simu nyingi hapa jukwaaniAcha ubahiri wewe....!
salaam wana jf,
Mwenzenu sasa nimeamua kufunga mlango na dirisha la tabia ya kuhonga honga kwa namna yoyote kwani nimegundua hii tabia inarudisha nyumba maendeleo yangu sana,
yaani mwanamke ambaye hayupo kwenye familia yangu basi hata aje na style gani yakuniomba pesa, sitoi hata cent, maana kuna baadhi ya wanatumia mwanya huu kunimaliza sana,
Hakuna tofauti hapo, na zaidi nikwamba na wao siku hizi wana mbinu za kila aina unaweza fikiri unatoa pesa tu kama unavyo sema kumbe unahonga bila kujijua, hii kitu ndio siitaki tenaWewe toa pesa usihonge. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutoa pesa na kuhonga
Sio vizuuuri!What…
usiaaaache!Unatakaje kusudi iwe vizuri?
kutoa ni moyo!Nipe kigezo chakufanya nisiache ?