Nimeamua, sihongi tena

Nimeamua, sihongi tena

Umepepata mawazo mazuri Mungu awe nawe tamaa za papuchi za nje zinawaponza wengi
 
salaam wana jf,

Mwenzenu sasa nimeamua kufunga mlango na dirisha la tabia ya kuhonga honga kwa namna yoyote kwani nimegundua hii tabia inarudisha nyumba maendeleo yangu sana,

yaani mwanamke ambaye hayupo kwenye familia yangu basi hata aje na style gani yakuniomba pesa, sitoi hata cent, maana kuna baadhi ya wanatumia mwanya huu kunimaliza sana,

Wewe toa pesa usihonge. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutoa pesa na kuhonga
 
Wewe toa pesa usihonge. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutoa pesa na kuhonga
Hakuna tofauti hapo, na zaidi nikwamba na wao siku hizi wana mbinu za kila aina unaweza fikiri unatoa pesa tu kama unavyo sema kumbe unahonga bila kujijua, hii kitu ndio siitaki tena
 
kutoa ni moyo!
Kanisani au msikitini ndio kutoa ni moyo, tena unatoa kiwango ambacho unauwezo nacho, hata 100 wanaichukua, lakini wadada bwana wanamakua mbaya dume asipo kuwa makini anaweza kosa hela ya kununulia mihogo kesho na chai
 
Kabisaa no Money bila kufanya kazi
1474830831293.jpg
 
Back
Top Bottom