sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,746
- 4,350
Salaam wana JF,
Mwenzenu sasa nimeamua kufunga mlango na dirisha la tabia ya kuhonga honga kwa namna yoyote kwani nimegundua hii tabia inarudisha nyumba maendeleo yangu sana.
Yaani mwanamke ambaye hayupo kwenye familia yangu basi hata aje na style gani ya kuniomba pesa, sitoi hata cent. Maana kuna baadhi ya wanatumia mwanya huu kunimaliza sana.
Mwenzenu sasa nimeamua kufunga mlango na dirisha la tabia ya kuhonga honga kwa namna yoyote kwani nimegundua hii tabia inarudisha nyumba maendeleo yangu sana.
Yaani mwanamke ambaye hayupo kwenye familia yangu basi hata aje na style gani ya kuniomba pesa, sitoi hata cent. Maana kuna baadhi ya wanatumia mwanya huu kunimaliza sana.
