NImeamua kuwafungia wote

NImeamua kuwafungia wote

Naona umeamua kuruhusu mapenzi yakugombanishe na familia yenu...
Sio mapenzi mkuu,nnachochukia kwanini waninenee ubaya ambao siufanyi na sijawakosea lolote mie niko busy na maisha yangu ila wao kila gape wanalopata ni kunizungumzia mimi kwa mabaya
 
Siku zote mkaa kimya na kujisugua roho ndani kwa ndani huku ukiongelea pembeni,ujue huyo mtu ni Mnafik
Mwanaume unatakiwa ufunguke sio unakalia mambo ya kijikoni jikoni[emoji1321]‍[emoji3603]
Mkuu hata nikifunguka sana ntamuingiza huyu dada mgeni matatizoni nani kitu ambacho ctaki kitokee
 
hauna akili nzuri wewe yan unataka kukatisha undugu na kaka ako sababu ya maneno ya kuambiwa na dem ambaye umejuana nae juzi tu?

Waite wote watatu kwa pamoja afu uwaulize usikie wanasemaje
Huko kutakua kusutana mkuu na huyu dada watamchukia
Mimi najua ni kweli kbsa wala hajajitungia sema kwa kuwa alikua na hisia flani namimi ndo maana ananiambia
 
Sio mapenzi mkuu,nnachochukia kwanini waninenee ubaya ambao siufanyi na sijawakosea lolote mie niko busy na maisha yangu ila wao kila gape wanalopata ni kunizungumzia mimi kwa mabaya
Kwanini umeishi nao kwa miaka yooote wasikunene kwa mabaya, leo umempeta mpenzi ambae ndio binti anaekuletea maneno yanayo wachonganisha....
Kwani wewe haujui ule msemo wa wahenga waliosema penzi kitovu cha uzembe...!!??
 
Nyumbani kwetu huko mtoto wa kwanza au wa mwisho ndo warithi wa makazi.
Xa huyo bro wako naona yupo kwako halafu analeta ushost.
Anuway, punguza ukaribu naye ikiwezekana asijue ishu zako kabisa labda inawwza ikasaidia.
Huyo dem naye pia ifike wakati asepe tu hapo mi naona hana wema anaweza naye akawa anayakoroga coz hujui anawapa habari gani zakwako, akiondoka nawewe ukawakazia inaweza kuwa poa
Sure mkuu hata wakati mzee kafariki
waliniuliza nani unataka aishi hapa?
nkawapendekeza wao ila now mie ndo wananiona kama wakuja hivi
 
Hii kesi imeanza muda hata kabla ya huyu binti hajaja sema now ndo nimekwazika zaidi hasa hatua waliofikia ya kuninenea et mimi nimedate hadi na waathirika
Kwanini umeishi nao kwa miaka yooote wasikunene kwa mabaya, leo umempeta mpenzi ambae ndio binti anaekuletea maneno yanayo wachonganisha....
Kwani wewe haujui ule msemo wa wahenga waliosema penzi kitovu cha uzembe...!!??
 
Me najua wazi hata kabla ya huyu dada hajaja bro wangu huwa ananichukia tu bila sababu na akamuambukiza na mke wake nasasa kila mgeni anaekuja wanamsimulia tu mabaya yangu ila kwa kuwa huyu dada tumekua nae close ndo maana nayapata vizuri
Undugu kazi sana ndg yangu. Na ukitaka kuwaridhisha binadam itakubidi uwe muongo na mnafiki. Ila ukitaka kumridhisha Mungu kuwa mkweli na simamia hiyo misimamo yako.
 
Mwanamke siku zote anajaribu kukuchonganisha na ndugu ili yeye ndio awe karibu.
Na uwe karibu na ndugu zake
 
Jiulize anakuambia ili iweje?
Angekua ana kumpenda angesisiza upime HIV na kama uko salama angekushauri uepukane na ngono zenye

Ni mengi tunayasikia lakini hatusemi. Kuchonganisha ndugu wa tumbo moja ni laana.

Kwahiyo kama MTU anasemwa vibaya asiambiwe, sio wote wana nia ya umbea au uchonganishi, wengine wanaokuambia kuwa unasemwa vibaya wanakutakia mema na kukuonea huruma Sky Eclat
 
Sijamwambia kwa kuwa najua watamchukia huyu dada na watajua yeye ndo kanambia

Kwo ili kuondokana na hayo nimeamua sitaki mazoea nao wote ili wajitafakari vizuri bila kumuathiri huyu dada maisha yake na wao

Kwa maelezo yako nimejiuliza kichwani kwann kwenye familia nyingi ndugu tunachukiana na kuchekeana kinafiki, sijui kuna pepo kwenye kila familia ambalo kazi take ni kuchonganisha ndugu Jonah Hex
 
Kwa maelezo yako nimejiuliza kichwani kwann kwenye familia nyingi ndugu tunachukiana na kuchekeana kinafiki, sijui kuna pepo kwenye kila familia ambalo kazi take ni kuchonganisha ndugu Jonah Hex
Dah yan dadangu acha tu
ila kwa kuwa inabidi iwe hivyo no way
Hata vikao vikikaliwa ninajua ni hulka yao tangu kitambo
 
Ur right. It is called " Ghosting" . Ghosting is disappearance from a lover, friends or relatives without giving a prior notice.

It is characterised by not calling, never pick up their phones nor replying to their texts.

Do it mkuu
Habari wakuu

Baada ya wazaz wetu kufariki na nyumba kukosa wa kuingalia ikabidi bro wangu ahamie pale yeye na mke wake japo namimi nnaishi umbali mdogo kutoka hapo hom jap sijaoa.

Sasa mwezi uliopita alikuja binti mmoja kukaa pale hom ili asubiri mambo yake yakamilike asepe kwa kuwa tuna undugu nao japo wa mbali mbal,na kiukwel alitokea kunizoea na kunipenda sana(Hisia za mapenzi) kama mjuavyo upendo haujifichi japo mimi mpaka dakika hii sijawai mfanya chochote.

Sasa mda mchache baada ya binti kuzoena namimi alianza kunijulisha jinsi ambavo bro na mke wake wananisema kwa mabaya sana yani kila sifa mbaya ni yangu na story zingine za kutunga tunga wakati siku zote najitaidi niwe bora kwao

Binafsi nligundua wamehisi huyu dada kanipenda sana sasa wanajaribu kumwambia sifa zangu mbaya ili akate mazoea namimi kabisa,ila mara zote namwambia huyu dada kuwa sio kweli ajaribu kuchunguza hata yeye akihisi wako sawa basi poa.

Sasa Juzi kanambia tena amesikia akina bro wanazungumza issue moja kwamba Mimi nliwai kuwa na mahusiano na dada flan hapa mtaani kwetu(Namjua) ambae alifariki kama miezi sita imepita na inasemekana alifariki kwa HIV maana afya yake ilizorota sana.

Sasa mimi kiukweli tangu aanze kuniambia hayo yote nimekua siyatilii maanani na hata nkiwa na akina bro nacheka nao vizuri tu bila kuonesha kwamba nnajua kwamba wananichafua sana lakini la kufikia hatua hadi kunizushia kwamba nimeshadate na mtu aloathirika nahisi limeniuma sana na nlichoamua ni kuwa sitawaambia lolote lakini pia sitawasemesha wala kujibu salamu yao wote kuanzia
Bro,mke wake na huyu dada maana nayeye inaonekana kama tayari kashakua na hofu kubwa sana namimi,So ili nisiendelee kuumia zaidi ni bora nichukue huo uamuzi na mimi nikishakuchukia huwa sirudi nyuma hata niwe na shida ipi heri nife ndani.


Naombeni ushauri wakuu je niendelee na huu msimamo au?
 
Back
Top Bottom