The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
Huyo Kaka yako Ana hasira na maisha yako,huenda umemzidi kipato.Iko hivyo familia zetu za kiafrica watu hawapendi uwazidi watakuchafua Hadi ujute,la kufanya kata mawasiliano nao wote,ukikutana nao wape salamu halafu kikatae,wasikujue undani wako wala maisha yako,adui wako ni mtu wa karibu yako.Me najua wazi hata kabla ya huyu dada hajaja bro wangu huwa ananichukia tu bila sababu na akamuambukiza na mke wake nasasa kila mgeni anaekuja wanamsimulia tu mabaya yangu ila kwa kuwa huyu dada tumekua nae close ndo maana nayapata vizuri