NImeamua kuwafungia wote

NImeamua kuwafungia wote

Haha sawa mkuu,ila hata ukitoa hili swala kuna mengi sana ambayo ananizungumzia kinyume kabisa hata sehemu zingine,sasa kwa kua inaonekana me nayeye chemistry zmegoma acha tu nifunge vioo mazima
Tutazikan bac
Basi mkuu nikwambie tu, hapo me sijaona sababu yawewe kuwachunia. Ninachokiona hapo nikuwa broo wako ameshaona dalili sio nzuriii nahuyo ndugu yako wambali nayeye ataki hicho kitendo kikatokea ila anashindwa kukwambia so anachokifanya nikumkatisha tamaa yangono huyu bint ili mwisho wasiku msije mkabokoana naundugu wenu japokuwa niwambali ukageuka undugu ushenzi wakulana kama kuku
 
Haha sawa mkuu,ila hata ukitoa hili swala kuna mengi sana ambayo ananizungumzia kinyume kabisa hata sehemu zingine,sasa kwa kua inaonekana me nayeye chemistry zmegoma acha tu nifunge vioo mazima
Tutazikan bac
Kama sio broo wako mfungie vioo, msiwe kama watoto wakike nyie niwatoto wakiume inatakiwa muishi kiume
 
Sasa umeshaamua halafu unataka ushauri tena mkuu, nadhani huyo mgeni wa familia angefanya aliyojia aondoke tu,
Hayo ya kupendana na ndugu yako nayo ni matatizo tu...wanawake wote huwaoni?
 
Me sitegemei chochote kwao mkuu,sana wao ndo huwa wakipata shida nawasaidia

Yan tunachoshare labda ni huduma za umeme na maji ambazo nazo nachangia kama kawaida

Japo huyu dada kashanambia kua et mimi sichangii chochote na natumia tu free kitu ambacho sio kweli at all
Una kaa mbali kidogo afu bado una share nao umeme na maji? Kuna wireless connection nini...?
 
Sasa umeshaamua halafu unataka ushauri tena mkuu, nadhani huyo mgeni wa familia angefanya aliyojia aondoke tu,
Hayo ya kupendana na ndugu yako nayo ni matatizo tu...wanawake wote huwaoni?
Wala sina mpango nae,nando maana cjamfanya chochote mpaka sai
ila kwanini wamtumie kuonesha chuki zao kwangu hata kama ingekua namtaka
 
Kwani akusalimii?? Au wewe ndio unataka ukuze mambo mpaka mfikie hatua yakutosalimiana, ujiulizi kabla yahuyo bint kuja mlikuwa mnaishi je?
Tulikua tunaishi tu ivo ivo ila now ndo nmegundua kuwa kumbe wananchukia sana
 
Sidhani kama Kweli kaka yako anakuchukia ila inawezekana kashikiwa akili na mke wake , kazi unayo mkuu.
 
Sawa ni kihere here ila anachosema sio kwamba kajitungia na kwanini niendelee kumkenulia meno mtu anaenidis
Sikia bro,jifunze kupotezea info zisizo na mashiko. Kwani ukipata vvu ni hatari,au hujawahi kusikia masengenyo? Utanunia wangapi?mpotezee huyo anti ni mchonganishi sana hata rafiki zako atakugombanisha nao. Na usifikirie huko kwa kaka yako pia hajawapelekea maneno.
 
Kwa nini ukasirike kwa maneno ambayo unakili si kweli una uhakika gani kama huyo bibie apeleki maneno ya uwongo kwa huyo ndugu yako na mkewe.
 
Habari wakuu

Baada ya wazaz wetu kufariki na nyumba kukosa wa kuingalia ikabidi bro wangu ahamie pale yeye na mke wake japo namimi nnaishi umbali mdogo kutoka hapo hom jap sijaoa.

Sasa mwezi uliopita alikuja binti mmoja kukaa pale hom ili asubiri mambo yake yakamilike asepe kwa kuwa tuna undugu nao japo wa mbali mbal,na kiukwel alitokea kunizoea na kunipenda sana(Hisia za mapenzi) kama mjuavyo upendo haujifichi japo mimi mpaka dakika hii sijawai mfanya chochote.

Sasa mda mchache baada ya binti kuzoena namimi alianza kunijulisha jinsi ambavo bro na mke wake wananisema kwa mabaya sana yani kila sifa mbaya ni yangu na story zingine za kutunga tunga wakati siku zote najitaidi niwe bora kwao

Binafsi nligundua wamehisi huyu dada kanipenda sana sasa wanajaribu kumwambia sifa zangu mbaya ili akate mazoea namimi kabisa,ila mara zote namwambia huyu dada kuwa sio kweli ajaribu kuchunguza hata yeye akihisi wako sawa basi poa.

Sasa Juzi kanambia tena amesikia akina bro wanazungumza issue moja kwamba Mimi nliwai kuwa na mahusiano na dada flan hapa mtaani kwetu(Namjua) ambae alifariki kama miezi sita imepita na inasemekana alifariki kwa HIV maana afya yake ilizorota sana.

Sasa mimi kiukweli tangu aanze kuniambia hayo yote nimekua siyatilii maanani na hata nkiwa na akina bro nacheka nao vizuri tu bila kuonesha kwamba nnajua kwamba wananichafua sana lakini la kufikia hatua hadi kunizushia kwamba nimeshadate na mtu aloathirika nahisi limeniuma sana na nlichoamua ni kuwa sitawaambia lolote lakini pia sitawasemesha wala kujibu salamu yao wote kuanzia
Bro,mke wake na huyu dada maana nayeye inaonekana kama tayari kashakua na hofu kubwa sana namimi,So ili nisiendelee kuumia zaidi ni bora nichukue huo uamuzi na mimi nikishakuchukia huwa sirudi nyuma hata niwe na shida ipi heri nife ndani.


Naombeni ushauri wakuu je niendelee na huu msimamo au?
Kwa kweli wanaume wanapungua kwa Kasi Sana wanabaki wavulana na wanawake ...lijitu limekuja from no where na lijitu linauelewa wa popompo linataka kuharibu msingi imara walilojenga marehemu kabla hawajaondoka ,kibaya Zaid lijitu limeshikizwa tu Kama bati ya Bibi yangu kule mwondochia ,na mpaparara nae anadai eti atakuwa kimya mpaka mdomo inuke Kama choo alilosomea DAB na kuchangia kuharibu muda na makaratasi ya nacte.DAB njoo ufuate mwezako huku kabla hajaribu.
 
Nyumbani kwetu huko mtoto wa kwanza au wa mwisho ndo warithi wa makazi.
Xa huyo bro wako naona yupo kwako halafu analeta ushost.
Anuway, punguza ukaribu naye ikiwezekana asijue ishu zako kabisa labda inawwza ikasaidia.
Huyo dem naye pia ifike wakati asepe tu hapo mi naona hana wema anaweza naye akawa anayakoroga coz hujui anawapa habari gani zakwako, akiondoka nawewe ukawakazia inaweza kuwa poa
 
Back
Top Bottom