haikuwa rahisi mkuu nilitafakari kwa muda mrefu sana nikaona nisijekuishia pabaya nimetumia muda mwingi na nguvu nyingi kujijenga mpaka kufika hapa.Umefanya maamuzi mazuri sana, kuliko kuoa halafu ukaja kupata kesi ya kuua baada ya kufumania
hapana mkuu ... hiyo labda kwako mimi niko njema tu na mawazo yangu ndiyo hayo.
Sema nimefikilia mbali sana mimi ni mtu egoistic alafu short tempered na kwa tabia za wanawake naweza ishia pabaya zaidi kuliko huo upweke mnaouzungumzia.
mkuu hii decision ni ya kibinafsi sana imeangalia zaidi mimi ni mtu wa aina gani so hata wanawake wawe na mazuri gani bado nasita kujiingiza huko.worldboss 30 vs 5 ni ratio ndogo sana. You are yet to see the goodies of women.
Anyway, endeleeni kupungua, tukibaki wachache hata competition itapungua.
mkuu hii decision ni ya kibinafsi sana imeangalia zaidi mimi ni mtu wa aina gani so hata wanawake wawe na mazuri gani bado nasita kujiingiza huko.
mkuu maamuzi yangu yametokana baada ya kubaini kuwa:-Jipe miaka mitano mitano kufanya assessment.
You will tell
mkuu mj alikuwa mpweke ni kwa sababu ya ustaa ulimnyima uhuru wa kuishi atakavyo na pia media zilimuandama sana na wala si mapenzi fuatilia vizuri mkuu.
Una hela Sasa. Watu kamA MJ na kristiano lonado wameweza hiyo life style sababu ya pesa na umaarufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Upweke unakuja siku ukiwa fresh mfukoni, ila ukiwa kavu ndo unakuwa na mawazo kama ya jamaa.
Naweza kusema ni sahihi au la ' inategemea na knowledge ya victims ... Kuna ambao katika umri wa miaka 30 tu wana ukomavu mkubwa sana wa kufikiri (but hawa wapo wachache) na kuna ambao wana miaka 30 lakini bado wana upeo mdogo wa kufikiri ( wapo wengi katika Jamii zetu ) so hawa hatupaswi kuamini wanacho kisema (as maamuzi) mpaka pale tutakapo weza kuhakikisha kuwa wako Matured enoughThank you boss.
But, do you think at 30 years of age ni sahihi kuwaza kwamba huu uamuzi utakuwepo muda wote?
Hayakeli yanakeramapenzi yanakela sana
Just Go for it brother,mkuu maamuzi yangu yametokana baada ya kubaini kuwa:-
1. Mimi ni egoistic
2.short tempered (nishapata kesi nyingi sana kwa suala dogo la kushindwa kucontrol hasira hata wakati haki ni yangu)
3.nikiwa katika mapenzi napunguza efficiency ya kazi yoyote
4.nikiwa na mpenzi namuamini sana na hii ni vulnerability ilitokea akaniumiza naumia sana.
5. Alafu kabisa mimi sio muhuni.
Atatumia mbinu ya kivita kama ya yule mstaafu wa TaboraHuogopi upweke ukifika fainali?
hivyo hivyoHayakeli yanakera