Nimeamua kuvunja ukimya

Najua Mkuu,lakini kumpokea alie juu,nafikiri mademu ndio hutupokea sisi kwa juu,sasa mimi mwanaume uniambie nimpokee alie juu daah hiyo ni balaa.Vipi wewe uliwahi kumpokea alie juu?
Mimi ni mpendwa nimekatazwa kuwaza dhambi!
 
baada y kufeli form 4 alikupa nini??
Ameen
 
Amen, Yesu ni hakika na kweli.

Ila ikiwa ni kweli kwa haya uyashuhudiayo Mungu azidi kukupatia ujasiri Tamalisa wa kusonga mbele katika imani yako. Yesu analipa.

Warning (Ilani), Hii isije tu ikawa ni gia ya kutafutia wachumba, maana siku hizi dunia imevaa chupi.
 
mkaribishe kwanza wew...si wote wapendwa wana yesu wa kweli....mtamfute yesu kwa bidii sana nawe utamuona kwenye maisha yako
 
Vipi Mkuu wewe ni KE au me?,ukiwa KE nitakupa jibu muruwa na mujarabu.
Nikienda kukoga badaye nitajikagua mkuu nikupe jibu...unajua tena hivi viungo vya uzazi sikuwahi kuvikagua kwa kuwa sikuwa na matumizi navyo period!
 



Muulize afafanue vizuri siku yakimkuta tofauti na aliyoandika hapa atabadilisha maneno au?, Mimi kwa Mungu najitoa mzimamzima na wala sina reference maana amenitendea mengi mema ambayo toka afikirie kuniumba mpaka nazaliwa na hadi sasa sina cha kumuambia asante kwa hiki sababu yooooooote ni kwa neema yake, hivi kuokoka ni kwa sababu tu maana kila mtu aliyeokoka atakuambia nimeona hiki au kile wanaita ushuhuda sijui, mbona tunapenda kum undermine sana huyu BWANA WA MAJESHI, kama hajafanya kitu basi kimyaaa, sijui sababu sina utaalamu sana wa Biblia na tafsiri zake, ni mawazo yangu najiwazia peke yangu.
 
Thanks you said the truth.be blessed
 
Amina
 
Uwongo dhambi kuna umri ambao kama miundombinu yako kimaisha na commitment bado iko complicated ukimpokea huyu mkuu utakuwa unadanganya...wako wapendwa kibao tunabanana nao kwenye vibanda umiza ila wakienda 'baibo' wanatubu!
Vibanda umiza ndio vipi hivo? Kubet au wahaya? Au nimekosea hata kuotea?
 
Uwe unazngatia context.....

Hii sehem sio ya mahubiri

Ni sehem ya mada zinazohusu mapenz na mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…