Nimeamua kuvunja ukimya


Hili ni kweli ndugu yangu na ndio maana leo hii tunasikia habari nyingi mbaya juu ya hao waliookoka, lakini hupaswi kumuhukumu mtu kwa kugeneralize, ukimshuhudia mseme, ila kama hujamshuhudia tulia tu mwache aendelee na wokovu au imani yake, hii ndio busara kuu. Maana kuna watu waliwakejeli watumishi wa Mungu badae wairudi kupiga magoti wenyewe, cha msingi ni kuzidi kuombeana tu, sisi tunawaombea vijana wote Tz.
 

Hapa umepotoka ndugu yangu, mimi sijajisifu, namshuhudia YESU ili wale ambao hawaamini waamini, hakuna kitu kizuri kama kuelezea mambo makuu ambayo Yesu amekutendea, unawapa wengine moyo na nguvu ya kukaa kwa Yesu, na hakuna uchoyo kama kukaa kimya pale unapofanyiwa jambo na Yesu. Siku zote ktk maombi yangu huwa nawataja wengine kwanza halafu mimi najitaja mwisho, Y?, hadi leo ktk maombi yangu ya kufunga ni lazima niombe juu ya suala la ajira, wagonjwa, Tz and so on.

Mf;Ukisoma Biblia Yesu aliwaponya watu wengi sana na wakapaza sauti kuu kusifu, je walikuwa wanajisifu? No. Acha mawazo negative.
 


Horseshoe umenifurahisha, nitakuwa Mkiti wa kamati yako ya harusi usinisahau plz
 
mbona sifa nyingi zilizotelewa hapo hazipo katika maandiko?. wenzangu mmezitoa wapi?
 

Mkuu hapo hajajisifia ila kamsifia Yesu aliyemsaida,hebu soma mada vizuri.
 
mbona sifa nyingi zilizotelewa hapo hazipo katika maandiko?. wenzangu mmezitoa wapi?

Sifa gani mkuu?, unataka maandiko? ebu toa mfano sifa gani? maana hapo nilitoa maelezo unataka maandiko gani?
 

Sasa kwanini wewe ni fedhuli
 
kwa hiyo huyo ndio unampa kila kitu....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…