General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Nimemaliza kaelimu kangu kadogo mwaka huu. Nimefanya uhuni mpaka sikumbuki nimegegeda wangapi. Kuna siku nilikuwa nawahesabu wengine nilikuja kuwakumbuka baada ya siku mbili.
Nimeamua kuingia utu uzima, now nina miaka 24. Uchafu na utumwa wa ngono sitaki. Mapenzi hurudisha maendeleo nyuma.
Sijawahi ridhika na papuchi, kila aliyepita mbele yangu nilikuwa namtamani. Sijapata faida yoyote katika papuchi zaidi ya kujipa sifa za kitoto. Kila muda nilikuwa nawaza kugegeda, yaani nikitoka kupiga/kutembea msicha mchana unakuta usiku nataka mwingine.
Nilikuwa mtumwa wa sex lakini sasa nimeamua kufanya maamuzi magumu, Nataka pesa. Natafuta pesa sio kwaajili ya kuja kufanya uhuni bali kutimiza nia yangu ya kuwa tajiri. Msichana wangu wa siku nyingi nae imebidi tuachane nijipange upya, najipa likizo ya miaka miwili.
Natafuta pesa kuja kujenga familia bora yenye nguvu kila idara kama rockefeller.
NGASTUKA.
Am sweet Mangi.
Nimeamua kuingia utu uzima, now nina miaka 24. Uchafu na utumwa wa ngono sitaki. Mapenzi hurudisha maendeleo nyuma.
Sijawahi ridhika na papuchi, kila aliyepita mbele yangu nilikuwa namtamani. Sijapata faida yoyote katika papuchi zaidi ya kujipa sifa za kitoto. Kila muda nilikuwa nawaza kugegeda, yaani nikitoka kupiga/kutembea msicha mchana unakuta usiku nataka mwingine.
Nilikuwa mtumwa wa sex lakini sasa nimeamua kufanya maamuzi magumu, Nataka pesa. Natafuta pesa sio kwaajili ya kuja kufanya uhuni bali kutimiza nia yangu ya kuwa tajiri. Msichana wangu wa siku nyingi nae imebidi tuachane nijipange upya, najipa likizo ya miaka miwili.
Natafuta pesa kuja kujenga familia bora yenye nguvu kila idara kama rockefeller.
NGASTUKA.
Am sweet Mangi.