Nimeamua kunywa pombe from now until morning

Nimeamua kunywa pombe from now until morning

Na make wake pia..ukute anajiwazia mume yuko wapi usingizi hauji.


Ndo maana habembelezwi kwa ujinga huu nani ambembeleze Mungu amtie nguvu huyu mke WA huyu kua na mume au kumvumilia mume WA dizain hii ni kipaji kitukufu kabisa
 
Jamaa msimshangae kwani V na B zipo jirani sana kwenye keyboard sasa jamaa kishapata nne hivyo amezidi kuzifanya hizo herufi zisogeleane karibu sana kiasi kwamba jamaa anabofya tu V badala ya B bila hata kuona tofauti yoyote. Nadhani atakapofikisha "VIA" ya 6 hizo herufi kwake yeye zitakuwa kwenye Button moja kabisa!
 
friends nilikuwa nimeomba tenda flan mkoani na nilitegemea nitapata but sikupata.ila Nina make na watoto watatu nimerudi nyumbani chumba Niko rafu watoto rafu make wangu naye
ananiona nimekasirika haulizi Nina nini huku hajui yaliyonikuta huko mkoani naye kanuna na kaamua kulala mi kichwa kinazunguka sioni wa kunipa MOYO so nikaamua kuamia hapa bar naona naanza pata furaha BAADA ya hawa wadada kunipa MOYO bila kujua nimekwazwa na nini wakiwa wananiamnia hata ni maisha tu one day utapaya unachotaka nimewaona ni wa maana ZAIDI ya make wangu na nimewanunulia via wanywe na Mimi nakunywa mpaka usiku marudi home kulala tu nikikuta mnuno uleule naenda lala na baamedi tutajua asubuhi yaliyopita kwa kuw mke wangu kashindwa kuniweka sawa so sina raha hapo home bora hapa bar.heri yenu wake zenu wanajua nafasi zao.good night mtauepuka ukimwi ila siye ambaye hatubembelezwi tunabembelezwa na mabaamedi sijui

ananiona

Dah! yani wewe ni bonge la nyumbu kweli
 
Ndo maana habembelezwi kwa ujinga huu nani ambembeleze Mungu amtie nguvu huyu mke WA huyu kua na mume au kumvumilia mume WA dizain hii ni kipaji kitukufu kabisa

Ni kama jamaa amezoea kubembelezwa,sasa Leo kamkuta mamushka hayuko sawa ndo mana anadeka..Pengine.

Hata hivyo,baba wa watoto wa3 anaanzaje kulewa kwa jambo kama hili? Pathetic.
 
Ni kama jamaa amezoea kubembelezwa,sasa Leo kamkuta mamushka hayuko sawa ndo mana anadeka..Pengine.

Hata hivyo,baba wa watoto wa3 anaanzaje kulewa kwa jambo kama hili? Pathetic.


Halafu anajiita mme au Baba shabash!!! Anatia hasira halaf nabaki nacheka Tu anaonekana ulevi ndo starehe yake
 
Duuu pole dear karibu tukaoge. Usijali kuna kesho utapata kwa njia ingine sweetie. Usikonde my baby wangu mi na watoto tutavumilia tutakula vimchicha mpk ufanikiwe. Usiende kule baa my swewtie watakuganda wale bar maids watakomba na hivyo vijisent vilivyobaki nasi home twavihitaji. Haya rudi home kwa mkeo
 
Ngoja kwanza azikomoe via ili zilipie makosa ya make na watoto wake
 
Yani ujinunishe tu afu huyo unaemuita make yako akubembeleze, jinga kweli nuna hadi upasuke

Huyu jamaa naona anakunywa konyagi ya ukwaju.......wacha amalize akalale.........
 
Hivi kuna haja gani ya kujidhalilisha hivi? Ukinywa pombe ndio utakuwa umepata solution ya hapo nyumbani kwako kbs? Wewe ni baba wa mke na watoto wa3 kweli? Unajikomoa na kuonekana zuzu tu mkuu.
 
Kwa mwendo huu babu wacha ninywe maji nilale......

Kama umefikia hapo basi na wewe unakaribia kustaafu. Yaani dogo anagawa via ila mmekataa kwenda kumsaidia kuikausha grocery?

karibu kwa wastaafu!
 
Back
Top Bottom