Nimeamua kunywa pombe from now until morning

Nimeamua kunywa pombe from now until morning

Kwa uandishi wake huo tayar kishagida hizo 'via' zikiisha mambo yanarudi pale pale

Kumbea "via" ndio zimeandika uzi huu...!?
Ngoja nisubirie maandishi ya mleta uzi, siwezi kusema lolote kwa hizi "via
 
eveln kwanza nakupenda sana napenda opinion zako mda mrefu na kama unakumbuka nilishawahi kuwa na rafiki yangu aliyekwama kwenye NDOA yake ukanipa MOYO wa kumshauri na nilifanya uliyonielekeza ila ndugu we acha tu

Make wako asipokuibia hela leo ntamshangaa sana
 
Huyu jamaa naona anakunywa konyagi ya ukwaju.......wacha amalize akalale.........

Af naskia pombe ukiichanganya na nanii unalewa mara dufu, huyu kama hajachanganyiwa sijui tu
 
Kila la kheri alili ikitilia kapime na usimguse mkeo kama umetenda chochote huko bar.

Usipomwambia mkeo unategemea aoteeee, unaelekea hauna mazoea ya kumtaarifu mkeo juu ya mambo yako kazi kuwaza michepuko. Labda na ndio maana umekosa tenda hiyo kkeo asingefaidi kihivyo
 
Kumbea "via" ndio zimeandika uzi huu...!?
Ngoja nisubirie maandishi ya mleta uzi, siwezi kusema lolote kwa hizi "via


Haha ndio ''via'' zimeandika huuu Uzi saa hizi sjui kaamkia wapi huyu ni shida. Aisee
 
friends nilikuwa nimeomba tenda flan mkoani na nilitegemea nitapata but sikupata.ila Nina make na watoto watatu nimerudi nyumbani chumba Niko rafu watoto rafu make wangu naye
ananiona nimekasirika haulizi Nina nini huku hajui yaliyonikuta huko mkoani naye kanuna na kaamua kulala mi kichwa kinazunguka sioni wa kunipa MOYO so nikaamua kuamia hapa bar naona naanza pata furaha BAADA ya hawa wadada kunipa MOYO bila kujua nimekwazwa na nini wakiwa wananiamnia hata ni maisha tu one day utapaya unachotaka nimewaona ni wa maana ZAIDI ya make wangu na nimewanunulia via wanywe na Mimi nakunywa mpaka usiku marudi home kulala tu nikikuta mnuno uleule naenda lala na baamedi tutajua asubuhi yaliyopita kwa kuw mke wangu kashindwa kuniweka sawa so sina raha hapo home bora hapa bar.heri yenu wake zenu wanajua nafasi zao.good night mtauepuka ukimwi ila siye ambaye hatubembelezwi tunabembelezwa na mabaamedi sijui

ananiona

Kweli ulikuwa bar maana huo muandiko sipati picha ungetuandikia na peni kwenye karatasi.
Via=Bia au?
Make =mke au?
 
Mkuu @UWOGA=UMASIKINI, nakutakia kila la heri katika maamuzi yako ya kipumbavu ila kumbuka every decision you make, has a consequence either good or bad. And every choice you make has the potential of changing the entire path in which your life is heading.
 
Kuna wanawake APA dunian ni shidaa kweli kwelii,yaani n zero brain,yaan ukiishi nao unaitaji uwee na moyo wa chumaa!Mi wamenshinda kuishi nao,inabidi uishi nao Kwa mazoea tuuuh.
 
UWOGA=UMASKINI kichwa chako hakiko vizuri na hicho kilagi
ngoja uharishe na kulazwa Hospital km utamuona Barmaid hata mmoja
ngoja upukutike km hutauona umuhimu wa make wako
rudi nyumbani haraka kampigie magoti
kukufyatulia watoto wa3 si mchezo kachoka sasa na vituko
 
Hakuna koma wala kituo. Huu uandishi noma.
 
Back
Top Bottom