Ushaanza hivyo, si juzi juzi tu hapa nimekutumua kwa M-Pesa kiasi cha shilingi Elfu moja mia tano, ina maana hazitoshi? We mtoto, hujui maisha ni magumu huku mjini, umeme bei juu, mafuta usiseme, mkaa, lahaula lakhuatah! na maharage siku hizi bei yake ngoma droo na nyama. subiri mpaka mwezi wa sita nitakutumia.................ebo!kwanza nitumie hela ya tuisheni halafu maharage ya shule yashanichosha.
Ngoja uolewe ndio utajua MBILIMBI inaitwaje kwa Kiingereza........................LOL
Si ndiyo mitoto ya Jakaya ilivyo? Dawa yao ni kuwang'olea fuse ya nyama ! Unawapachikia ya dagaa, binzi, miezitatu!
Babu turudishie chenji zetu bana..!!!!lol!!