Nimeamua kumtema mazima.

Dada ulisema unakuja lini maana leo siku ya tatu kitandani sikuoni.

leo nimekukumbuka sana nikasema nimekosea sana kwako ila nitakuja dada yao akina gwin kasepa kapata mchumba kammimba na alikuwa bado analea kichanga nimejionea tabu ya nn hapa duniani??
nimemtimua kwamba wa kwanza nilijua ni bahati mbaya sasa kafanya ndio tabia aanze mbele so far yeye hakuwa mwiko ama sufuria useme akiondoka sitokula ama kupika. niko home kama beki 3
 
when it comes to child rearing sina amsihara atleast afanye nikiwa nime RIP na hapo mungu atanihurumia kwamba nilijitahd khaa!
very good
kitu pekee ambacho hunifanya nikonde na namwomba Mungu aniepushie ni eti mwanangu anafumuliwa rinda?? ee mungu usiruhusu hili kwangu kwa sasa na hata kwa kizazi changu.
soma hapa
hii ipo listi ya top five ya parent's worst nightmare. usiombe ukikute
 
ila mimi nikaona ni bullshit kuumuza kichwa kwa mwanamke ambae anaelimu ndogo na uwezo pia kwaiyo nikaona sio ishu nikachapa lapa, mpk leo ha2wasiliani tena. Je, Hapo Nimefanya Makosa ? nahitaji ushauri wenu kuhusu uamuzi nilioamua.

Vyanaume vya kiswahili huwa mnakosea sana hapa, wewe una elimu kubwa kiasi gani ukamzarau mwenzio? Au wewe mwenye elimu kubwa unakunya pesa au cake? Acha dharau za kishamba dogo
 
Nimekoma kufungua thread za Masharobaro, yaani kama kweli una elimu zaidi ya huyo SHORI baasi hiyo elimu haijakusaidia kujitambua.

:becky::becky::becky: huyu sharobaro wa Tandare kwa Tumbo :becky:
 
Kwanza nichukue nafasi hii kumpongeza huyo dada kwa kuonesha msimamo!
Daaaah huyu ndio mwanamke hakika!
Wanawake wa hivi ni adimu sana!

Nakushauri usimame kwenye uamuzi wako maana hana mpango wa kukupa mchezo mbaya!



 
Wa Kishua umempata huyo dada yako? Hebu tafakari aliyoyasema hata kama yanauma jitahidi tu itakusaidia sana.
 
Last edited by a moderator:
Vijana wa siku hizi mnakera sana yaani mnawaza ngono tu. Mtu mmefahamiana Januari umeshataka akuvulie chupi? Kwanza hujamfahamu tabia zake kama ni kicheche au ana mtu mwingine; nampongeza kwa kukukatalia. Niskushauri kama unataka kuoa huyo ndoa mke hasa, sio wale wanaompanulia mapaja kila mtu anayekuja kumbuka huyo hata akiwa ndani hatabadilika.
 
Vyanaume vya kiswahili huwa mnakosea sana hapa, wewe una elimu kubwa kiasi gani ukamzarau mwenzio? Au wewe mwenye elimu kubwa unakunya pesa au cake? Acha dharau za kishamba dogo

Kielimu Nimemzidi, nimesema hivyo kwa sababu ya HASIRA na nimeboreka kwa m2 wa LOW CLASS aniletee magumashi mpk mm m2 mwny UELEWA na ELIMU iliyoshba..nikaona nimpotezee tuu, kwani cku zote ukizoea m2 mwenye akili ndogo akuongoze na ww utaonekana hivyo hivyo, Na2maini umenielewa ww unayejiita cjui TIQO
 

Nielewe kwamba ckuwa na haraka ya kufanya MAPENZI ila ilikuwa ni ile hali ya kutaka kuzoeana kwa ukaribu, unajua w2 mkiwa kwenye mahusiano alafu mkifanya mapenzi ndio ukaribu unazidi zaidi, ckutaka nimchezee huyu mwanamke ila nilitaka awe mke na nimsaidie shida zke nyingne.
 

Nimekupata Ndugu
 

Nadhani na ww utakuwa KENGE kwenye huu msafara wa MAMBA..Thnks for ur Advice sweetdada
 
hapo ulikuwa unaingilia mapenzi ya watu.......
 
oh shiteee..! nimekuja kufanya nini huku jfacebook...!?
 
Tafuta kurasa kwenye gazeti lolote la udaku,hadithi hizi zinapendwa sana na beki tatu!
 

oyaa acha mambo yako...kwahiyo hata mambo ya intanet 24/7 nyumbani kwako inapatikana umeona ishu eeh????kiGB kimoja ni sh ngap mpaka umeona ni ishu ya kutuletea humu??? kitu gani ambacho wewe unacho na wengine hawana....acha mambo yako watu wanamaisha ukiona utakimbia wewe....
 

Watoto wa siku hizi wanakwambia "JIPANGE" hukujipanga kuongea na wakubwa wenzio....matokea yake wamekuona under 20...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…