Nimeamua kujiunga na NCCR Mageuzi

Nimeamua kujiunga na NCCR Mageuzi

Tuko busy na tunafukiza m
ipapai, hebu atulie kwanza!
Ni jambo safi sana.Unaweka na "misimbazi" pembeni ili na bahati ya mapesa ikukute.Mbaazi chakula gani kumkirimu mgeni?Ni kheri kumpatia kahawa kwa mishikaki au chai kwa matembele inakubalika.
 
Lakini ni maamuzi yangu hata kama roho inawauma. Kwani lazima niwe na li chama lenu la Chadema?
Achilia mbali kuwa mwanachama wa CHADEMA,huna sifa hata za kuwa mshabiki tu.Akili zako nyembamba kama zile karatasi za kupangusia "ushuzi" chooni.Nani akutake weye?Hutikisiki wala kutingishika kama rungu la mgambo wa kijiji?
 
Achilia mbali kuwa mwanachama wa CHADEMA,huna sifa hata za kuwa mshabiki tu.Akili zako nyembamba kama zile karatasi za kupangusia "ushuzi" chooni.Nani akutake weye?Hutikisiki wala kutingishika kama rungu la mgambo wa kijiji?
Hapo October haijafika na mnaanza kunitukana namna hii? Ila sababu nimeamua kujiongeza mwenyewe nakomaa na msimamo wangu. Maana wasiwasi ni akili nachukua kadi alafu najipanga kimkakati.
 
Hapo October haijafika na mnaanza
kunitukana namna hii? Ila sababu nimeamua kujiongeza mwenyewe
nakomaa na msimamo wangu. Maana wasiwasi ni akili nachukua kadi alafu najipanga kimkakati.
Wanakudanganya hao.Rudi kwenu Isikizya Tabora ukalime manumbu yatakutoa weye.Siasa waachie akina Fundikira.
 
Back
Top Bottom