Nimeamua kujiunga na CHADEMA

Nimeamua kujiunga na CHADEMA

Pishoni

Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
33
Reaction score
24
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
 
poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
.....peoplessss...powerrrrrrrrrrrrrr
kuanzia kesho anza kutafuta wanachama wapya,uwaleta 100
 
powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
karibu kwenye vita dhidi ya wahuni
Kribu kwenye vita dhidi ya mafisadi
karibu kwenye vita dhidf ya watu wasiojitambua
karibu kwenye vita dhidi ya mkiloni mweusi

together we can do
 
Jehamanu watu hawaendi kwa bahati mbaya.
 
Karibu kamanda pamoja sana ,utakutana na watu ambao akili zao zipo mifukoni kwa wachache angalia wasikuumize kichwa.
 
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!
Wewe ni kiraracha,kirua vunjo, kiborironi au kishimundu?
 
Una akili sana wewe,karibu chama cha watu makini na chenye uongozi makini,poweeeeeeerrrrrrr!
 
Yes hujachelewa na hujakosea, tafuta ofisi ya chama uchukua kadi yako ya uanachama, NOTE Muda wa Kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura Fanya hima upate kiparata chako yaani voters ID, na muda ukifika wa kupiga kura, piga kura na uilinde, tokomeza ccm.

Peeeeplesssss
 
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikifatilia siasa bila kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa lakini kwa sasa nafsi yangu imeridhia kabisa kujiunga na CHADEMA kwa ukombozi wa taifa langu. Nipo tayari kuheshimu,kutetea,kulinda na kufata taratibu za chama kwa maslahi ya Nchi yangu. WanaCHADEMA naomba mnipokee! Peopleeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzz!!!!

Karibu kwenye chuo cha wabishi, huko hakuna zuri kila kitu kibaya tu kilichofanywa na serikali iliyoko madarakani.
 
Back
Top Bottom