Nimeamua kujifunza Python programming

Mkuu, kwenye control ya umri unaweza kuiweka hivi.

if age >=18:
print "Umri sahihi"
print age
print "Karibu ndugu %s, \numri wako ni miaka %s. \nEndelea na maelekezo yanayofuata. " %(name, age)

choice=int(raw_input("Kumuona daktari bingwa andika 1, \nKumuona dakatari wa kawaida andika 2 \n(1 au 2?)"))

if choice ==1:
print "gharama za daktari bingwa ni Tsh ....."
else:
print "gharama za daktari wa kawaida ni ....."
else:

print "Samahani, huduma hii ni kwa wenye umri zaidi ya miaka 18:"


Maelezo:

1. Tuanzie hapa, else block inakuwa executed kama if block ni false. Hivyo true statements zote tuziweke kwenye if block, hivyo ikiwa umri ni sawa au zaidi ya 18 mteja apewe maelezo yote yanayotakiwa, ila kama umri utakuwa chini ya miaka 18 basi mteja aambiwe samahani.

2. \n ni kwa ajili ya new line.
 
Mkuu, kwenye control ya umri unaweza kuiweka hivi.

if age >=18:
print "Umri sahihi"
print age
print "Karibu ndugu %s, \numri wako ni miaka %s. \nEndelea na maelekezo yanayofuata. " %(name, age)

choice=int(raw_input("Kumuona daktari bingwa andika 1, \nKumuona dakatari wa kawaida andika 2 \n(1 au 2?)"))

if choice ==1:
print "gharama za daktari bingwa ni Tsh ....."
else:
print "gharama za daktari wa kawaida ni ....."
else:

print "Samahani, huduma hii ni kwa wenye umri zaidi ya miaka 18:"


Maelezo:

1. Tuanzie hapa, else block inakuwa executed kama if block ni false. Hivyo true statements zote tuziweke kwenye if block, hivyo ikiwa umri ni sawa au zaidi ya 18 mteja apewe maelezo yote yanayotakiwa, ila kama umri utakuwa chini ya miaka 18 basi mteja aambiwe samahani.

2. \n ni kwa ajili ya new line.
code:

name = raw_input("What is your Name: ")

age = int(raw_input("Enter your Age: "))

if age >=18:
print "Umri sahihi"

print "Karibu ndugu %s, umri wako ni miaka %s. Endelea na maelekezo yanayofuata. " % (name, age)

print "Kumuona daktari bingwa andika 1, Kumuona dakatari wa kawaida andika 2 "
choice=int(raw_input("Enter 1 or 2: "))

if choice ==1:
print "gharama za daktari bingwa ni Tsh ....."
else:
print "gharama za daktari wa kawaida ni ....."

else:
print "Samahani, huduma hii ni kwa wenye umri zaidi ya miaka 18:"
 
Mkuu, kwenye control ya umri unaweza kuiweka hivi.

if age >=18:
print "Umri sahihi"
print age
print "Karibu ndugu %s, \numri wako ni miaka %s. \nEndelea na maelekezo yanayofuata. " %(name, age)

choice=int(raw_input("Kumuona daktari bingwa andika 1, \nKumuona dakatari wa kawaida andika 2 \n(1 au 2?)"))

if choice ==1:
print "gharama za daktari bingwa ni Tsh ....."
else:
print "gharama za daktari wa kawaida ni ....."
else:

print "Samahani, huduma hii ni kwa wenye umri zaidi ya miaka 18:"


Maelezo:

1. Tuanzie hapa, else block inakuwa executed kama if block ni false. Hivyo true statements zote tuziweke kwenye if block, hivyo ikiwa umri ni sawa au zaidi ya 18 mteja apewe maelezo yote yanayotakiwa, ila kama umri utakuwa chini ya miaka 18 basi mteja aambiwe samahani.

2. \n ni kwa ajili ya new line.
Naamini izo code nilizo kuandikia nitakuwa nimekusaidia kama utakua na swali karibu
 
Edited;
kwa uelewa wangu mdogo naona njia rahisi kujifunza iyo kitu sio codeacademy wala freecodecamp pekee.
anyways inategemea na mtu. jaribu kuchukua material(videos) toka lynda,udemy au coursera.. hii itakufanya elewe vizuri na usisahau kama ulivoandika hyapo juu kwamba ushasahau html.

vile vile jaribu kuchukua vitabu mbalimbali ..kuna python book collection kama uko interested naeza ukupatia...

vile vile nakushauri ujifunze algorithms(individually)[ ipo (coursera) maana naamini haijarishi language gani umesoma, ina msaada mkubwa.

ukikomaa hapo, ukaielewa python vizuri, machine language itakuwa nyepesi

kwa upande wa IDE nakushauri utumie pycharm ya jetbrains au kama bando sio tatizo tumia IDE ya CS50.(ni nzuri sana)
 
kwa upande wangu naona njia rahisi kujifunza iyo kitu sio codeacademy wala freecodecamp pekee.
anyways inategemea na mtu. jaribu kuchukua material(videos) toka lynda,udemy au corsera.. hii itakufanya elewe vizuri na usisahau kama ulivoandika hyapo juu kwamba ushasahau html.

vile vile jaribu kuchukua vitabu mbalimbali ..kuna python book collection kama uko interested naeza ukupatia...

kwa upande wa IDE nakushauri utumie pycharm ya jetbrains au kama bando sio tatizo tumia IDE ya CS50.(ni nzuri sana)
Na course ya free ni ipi
 
Edited;
kwa uelewa wangu mdogo naona njia rahisi kujifunza iyo kitu sio codeacademy wala freecodecamp pekee.
anyways inategemea na mtu. jaribu kuchukua material(videos) toka lynda,udemy au coursera.. hii itakufanya elewe vizuri na usisahau kama ulivoandika hyapo juu kwamba ushasahau html.

vile vile jaribu kuchukua vitabu mbalimbali ..kuna python book collection kama uko interested naeza ukupatia...

vile vile nakushauri ujifunze algorithms(individually)[ ipo (coursera) maana naamini haijarishi language gani umesoma, ina msaada mkubwa.

ukikomaa hapo, ukaielewa python vizuri, machine language itakuwa nyepesi

kwa upande wa IDE nakushauri utumie pycharm ya jetbrains au kama bando sio tatizo tumia IDE ya CS50.(ni nzuri sana)
Pia hata rodeo IDE ni nzuri sana kama unafanya vyote ni multipurpose kwa programming na data analysis ina display graph hapo hapo kama rstudio ya r software.
 
Mtoa mada, mie sina utaalam wa mambo ya telnolojia (IT) ila naona hapa watu wamelidaka wazo lako la kutengeneza hiyo programu unayotaka kuiandaa kwa ajili ya hospitali na hapa wanalifanyia kazi chini chini ili wauze kwenye hospitali.
Ila naweza kuwa nimewaza vibaya pengine hakuna aliyewaza kukuibia wazo lako na kwenda kulifanyia kazi badala ya kukusaidia.

Kila ka kheri.
hujakosea hiyo ni good business idea ila wabongo kuwauzia software ngumu sana kutokana na nature ya akili za kimasikini sana na kupenda vya bure.
 
======
UPDATE 2
Habari za jioni wakuu ?
Leo nimekuja na nyongeza ya kile nilichojifunza na kukifanyia kazi. Kwa kifupi nimefanikiwa kusoma functions na nimejaribu kuiweka kwenye hii project yangu ya kujifunzia.

Program yangu kwa sasa inakubali majina mawili ya mgonjwa pamoja na umri,urefu na uzito na kisha inapiga hesabu ya BMI na kutoa taarifa kama mgonjwa ana uzito sawa au overweight.

Pia inampa uchaguzi wa aina ya daktari anayetaka kumuona('specialist' au 'gp') pamoja na aina ya check up anayotaka kufanyiwa('general' au 'full') na inapiga hesabu ya jumla ya gharama na kumtaarifu mgonjwa. Nimeweka gharama ya specialist ni elfu 30 na gp elfu 10 pia gharama ya general check up ni elfu 50 na full check up ni laki na nusu. So mwisho gharama ni kutokana na uchaguzi wa hivyo viwili.

Code ni hizo hapo chini:
Code:
from datetime import datetime
date=datetime.now().strftime("%d-%m-%y %H:%M:%S")
print "KARIBU JF HEALTH CENTRE PATIENT'S DATABASE> Leo ni tarehe %s" %(date)

name=raw_input("Jina la kwanza la Mgonjwa:")
sir_name=raw_input("Jina la ukoo la Mgonjwa")

print "Umri:"
age=input()
age=float(age)

print "Uzito(kg):"
weight=input()
weight=float(weight)

print "Urefu(metre):"
height=input()
height=float(height)

bmi= weight/(height**2)
if bmi<30:
  print "Ndugu %s %s, mwenye umri wa miaka %s,ana uzito sahihi kulingana na urefu" %(name,sir_name,age)
if bmi>30:
  print "Ndugu %s %s, mwenye umri wa miaka %s,ana tatizo la ongezeko la uzito wa mwili(OVERWEIGHT)" %(name,sir_name,age)
 
def doctor(grade):
  if grade=="specialist":
    return 30000
  if grade=="gp":
    return 10000
def examination(exam):
  if exam=="general":
    return 50000
  if exam=="full":
    return 150000
def cost(grade,exam):
  return doctor(grade)+ examination(exam)

grade=raw_input("Mgonjwa anataka kuonwa na 'specialist' au 'gp' ?")
exam=raw_input("Mgonjwa anataka kufanya 'general' au 'full' check up ?")

print "Jumla ya gharama ya matibabu ni shillingi za kitanzania %s" %cost(grade,exam)
Unaweza kuijaribu hapa

Pia nimejifunza lists na library na ninaziandikia code ambapo kutakuwa na libray ya madaktari, vipimo, madawa nk

Karibuni kwa michango yenu @Stefano Mtangoo @luse @MaxMase
 
Mtoa mada, mie sina utaalam wa mambo ya telnolojia (IT) ila naona hapa watu wamelidaka wazo lako la kutengeneza hiyo programu unayotaka kuiandaa kwa ajili ya hospitali na hapa wanalifanyia kazi chini chini ili wauze kwenye hospitali.
Ila naweza kuwa nimewaza vibaya pengine hakuna aliyewaza kukuibia wazo lako na kwenda kulifanyia kazi badala ya kukusaidia.

Kila ka kheri.
wazo lake sio jipya hakuna atayeweza iba labda kama ni mpya kwenye IT sisi tulifanya project ya hospital management system tukiwa mwaka wa pili chuo so ni vitu vya kawaida sana anavyotaka fanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom