Python Newbie
Member
- Jul 17, 2017
- 77
- 49
- Thread starter
- #41
Noted mkuu.... nadhani Codecademy wanatumia version ya zamani baada ya muda wata-update nadhani. Nikimalliza kozi yote ndio nitaangalia version mpya zina nini cha ziada.Kwa kujifunza IDE haifai. Atumie tu Editor (Geany, Sublime, TextMate, et al) na Terminal, zinamtosha kwa sasa!
Atakuwa anatumi Py2.x na kama ameshaanza hivi ni bora akamaliza halafu aende kwenye changelog kujua nini kimebadilika. BTW Software nyingi sana zimegoma kuhamia 3.x na zingine zipo kwenye movement (zikiwemo maktaba muhimu kama wxPython). So hajapotea njia