Benson Mramba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2013
- 644
- 1,482
Mimi Benson Mramba leo tarehe 15 Sept 2018 katika viwanja vya Kampala Gongo la Mboto jimbo la Ukonga katika ufungaji wa kampeni wa Ndugu Mwita Waitara nimeamua kutangaza rasmi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama jukwaa langu jipya kisiasa.
Nimeamua kujiunga CCM ili kuendeleza mapambano dhidi ya Ufisadi na kuamini katika Nguvu ya Umma ambao Rais Magufuli anausikiliza na kuujali kwa sasa.
Wasifu
2005-2007 Kijana wa kujitolea katika kurugenzi ya vijana na mambo ya nje.
2007- 2009- Katibu Chadema kata ya kibamba
2009-2013 Katibu Chadema mkoa wa Tanga
2011-2014 Afisa Makao Makuu anayesimamia Tehama
2014-2016 Afisa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Chadema Makao Makuu.
July 2017- Sept 2018 Mwanachama Mfu wa CHADEMA
Sept 2018- Mwanachama wa CCM
Hapa Kazi Tu.
Nimeamua kujiunga CCM ili kuendeleza mapambano dhidi ya Ufisadi na kuamini katika Nguvu ya Umma ambao Rais Magufuli anausikiliza na kuujali kwa sasa.
Wasifu
2005-2007 Kijana wa kujitolea katika kurugenzi ya vijana na mambo ya nje.
2007- 2009- Katibu Chadema kata ya kibamba
2009-2013 Katibu Chadema mkoa wa Tanga
2011-2014 Afisa Makao Makuu anayesimamia Tehama
2014-2016 Afisa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Chadema Makao Makuu.
July 2017- Sept 2018 Mwanachama Mfu wa CHADEMA
Sept 2018- Mwanachama wa CCM
Hapa Kazi Tu.