Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 6,098
- 12,514
JF chimbo maridadi kabisa la kushushia stress kwa jumbe kama hizi lazima tu uchekeNdio,
hapa nilipo wameninyang'anya remote madogo wanatqzama catoon.
JF chimbo maridadi kabisa la kushushia stress kwa jumbe kama hizi lazima tu uchekeNdio,
hapa nilipo wameninyang'anya remote madogo wanatqzama catoon.
😂😂😂Simba wamejichokea hawana pa kuhemea 🤣🤣🤣
Ni binadamu gani anaaminika kipindi hiki?Wanaume hamuaminiki...!
Kazi imeingiaSasa ephen_ Hilo nalo ni la kulisema? Huyo jamaaa unakaaa nae mpange kwamba hupo tayar bas mambo ya utafiti sijui uaminifu yaache kama yalivyo haya mambo hayajawahi kua na definition ya Moja Kwa moja
Hii kupatwa kwa jua ama niniNi binadamu gani anaaminika kipindi hiki?
Wazee wa kula vitafunwa kimasihara fursa hii, mnakwama wapi MazeeMWaka wa kufosi huu
Lazima nichukue mtu nitajua mbele ya safari
Ukilewa usichat
Yaani mmetofautiana na mwanaume mmoja unaingizia wanaume wote kuwa na stara..Hujafa hujaumbika umeteleza hapo...
Naamini vishawishi ni vingi tu duniani ila ukiamua kusimamia standard zako na kumshirikiaha Mungu unavuka
Point ni kwambaSasa ephen_ Hilo nalo ni la kulisema? Huyo jamaaa unakaaa nae mpange kwamba hupo tayar bas mambo ya utafiti sijui uaminifu yaache kama yalivyo haya mambo hayajawahi kua na definition ya Moja Kwa moja
Wacha niipambanie nione mwisho wake🤔Wazee wa kula vitafunwa kimasihara fursa hii, mnakwama wapi Mazee
Ndugu equation???😂😂😂😂
Ndugu Equation, hapo pa kutamani mashemeji ninasimama kinyume..!!
Hili nalo litapita😂Ndugu equation???
Simama lakini ndio uhalisia, kwamba hamna tamaa?
GeneralizationWanaume wote kumbe wanacheat.....!
Bora hata hilo tukio limekujulisha kuwa ulikuwa unakosea kuamini hivyo, binadam hawaaminiki hata kidogo.Point ni kwamba
Nilikua nina imani kuna wanaume watulivu
Jinsi baba Cathe anavyomtenda mke wake vizuri nikajua kweli wanaume watulivu wapo 100%
Kitendo alichikifanya kwangu kimenifanya nione mwanaume anaweza kua mwema kwa mkewe lkn ana makandokando kayaficha bila kuonesha dalili yoyote.
😅Hili nalo litapita😂
Mkuu ile simulizi yako ya kufumaniwa siioni,imeyeyuka?Haya ndio mambo Mimi huwa nakataa mchumba . Huu msala ni wa Baba Cathe, basi aubebe yeye peke yake. Sasa tamaa zake, Mimi huku Namtumbo nahusishwaje?
Alaf si nilikukataza kutembea usiku?
WashindweeeeWazee wa kula vitafunwa kimasihara fursa hii, mnakwama wapi Mazee
🤣🤣🤣🤣 limeisha we tulia bffNitafutie bff angu
Unipachike kwenye maokoto mie
Hawa wa gombania goli siwatakiii
Imefutwa mkuuMkuu ile simulizi yako ya kufumaniwa siioni,imeyeyuka?