jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
Nafikiri kila mmoja ni shahidi kwa aibu aliyoipata Magufuli ya kuzomewa!sasa wameamua kukata umeme karibu nchi nzima ili tusione news ya aibu ya saa mbili.pole yao siku hizi hatutegemei TV kihivyo.Waende TCRA wazuie na bando za net hapo ndo watatuweza.poleni CCM hiyo ni laana ya watanzania mpaka hamjitibui.