TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,674
- 1,572
Kupitia taarifa ya habari ya ITV usiku huu nimesikia kwamba Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambi rambi Waziri mkuu mh. Mizengo Pinda kutokana kifo cha aliyekuwa mbunge wa Ulanga na waziri katika ofisi ya rais utumishi Mh. Celina Kombani.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya Rais ambayo kimsingi ndiye Mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo Mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM chama ambacho Mh. Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.
Sasa najiuliza hivi nani ni mfiwa hapo?
1. Huyu ni mteule wa rais kwa maana ya waziri.
2. Huyu ni waziri anayefanya kazi katika ofisi ya Rais ambayo kimsingi ndiye Mh. Kikwete.
3. Mjumbe katika baraza la mawaziri ambalo Mh. Kikwete ni mwenyekiti.
4. Mwanachama na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM chama ambacho Mh. Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wake.
Sasa salamu hizo za rambi rambi kwa waziri mkuu zinamantiki ipi?
Hebu watu wa itifaki tusaidiane hapa.