Nimeamini mchepuko umleavyo ndivyo akuchukuliavyo

Nimeamini mchepuko umleavyo ndivyo akuchukuliavyo

Binadamu tulivyo wa ajabu,
Huwezi amini, Uko uko ukraine kwenye Vita kali Kuna watoto watakuja kuzaliwa mwezi NOVEMBER mwaka huu

Maana ake hizo mimba zilitungwa kipindi hiki February nchi Yao ikiwa ktk Vita[emoji4]
Ingekuwa poa kama wangechanganya damu na waafrika.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] usichelewe Sana bas
Kumuoa uyu haina MDA maalum,
Akijirekebisha TU tabia zake nikaona anafaa kua wife material namuoa.

kwaSasa badobado anawenge wenge Sana[emoji4]
 
Binadamu tulivyo wa ajabu,
Huwezi amini, Uko uko ukraine kwenye Vita kali Kuna watoto watakuja kuzaliwa mwezi NOVEMBER mwaka huu

Maana ake hizo mimba zilitungwa kipindi hiki February nchi Yao ikiwa ktk Vita[emoji4]
Na watoto wengi wataitwa majina kama vile putin n.k
 
Kumuoa uyu haina MDA maalum,
Akijirekebisha TU tabia zake nikaona anafaa kua wife material namuoa.

kwaSasa badobado anawenge wenge Sana[emoji4]
Hahaha umuoe eee atajirekebisha maana nyie Ni ndege wawili mnaruka pamoja
 
Back
Top Bottom