Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,662
- Thread starter
-
- #41
Nashkuru kwani sijawahi kumuona live Lowassa wala kushiriki harambe zake lkn ilibidi niamuke na kukaa kitandani kutafakari. Situmii pombe wala sigara yoyote zaidi ya imani yangu ya RC.Mm ni cdm toka moyoni ila kwa ndoto yako naipa % zaid ya 100 na iwe hivyo
Nashkuru kwani sijawahi kumuona live Lowassa wala kushiriki harambe zake lkn ilibidi niamuke na kukaa kitandani kutafakari. Situmii pombe wala sigara yoyote zaidi ya imani yangu ya RC.
Kamanda asiyekaa ofisini
Kamanda mwajibikaji
Kamanda mpiganaji
Kamanda wa maamuzi
Kamanda wa shule za kata
Kamanda wa mradi wa maji ziwa victoria
Kamanda hajawahi kutuambia liwalo na liwe au tumechoka wapigwe tu
Ndo umemwota heri umwotae rais 2015
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
nashkuru kwani sijawahi kumuona live lowassa wala kushiriki harambe zake lkn ilibidi niamuke na kukaa kitandani kutafakari. Situmii pombe wala sigara yoyote zaidi ya imani yangu ya rc.
Naamini ninachoamini huyo ndo rais wetu ni heri huyu mzalendo kuliko alijenga nyumba uarabuni huku akiwachangisha michango ya chama. Asante mungu kwa kuanza kutuonyesha ukweli kati ya Mbowe na Lowassa yupi mwadilifu. Kichapo cha Tshangirai kule Zibambwe kinawasubiri 2015.Hii nchi bado sana, yaani wewe kuota amepita kwa kura za maoni za CCM- Dodoma hiyo kwako inamaanisha ameshakuwa rais?!
Endelea kuota amekuchagua kuwa mtabiri wake wa matukio.
vijana wanaobalehe huwa wananaota kufanya mapenzi na wanawake mbalimbali. Huwa hawawapati. Wanaishia kujichafua tu.
Nashkuru ndo sababu nikalileta kwa watu wenye hekima kama wewe. Kumbuka ni mara yangu ya kwanza ktk maisha kuota jambo ambalo sina interest nalo, na leo ili kuienzi hii ndoto nimeamua kuchorewa picha kubwa ya Lowassa katika Saloon yangu itakayogharimu 60,000/= nashkuru sana kwa hekima yako kwani ni kweli yaweza isiwe hivyo lakini nahsi mungu alikuwa na makusudi flani na ndoto hii. Kinyozi wangu amepinga kuchorewa hiyo picha akidai CHADEMA hawatafika kunyolewa lakini nimemwambia;na iwe hivyo.Kwa sasa, tunaomba tuamini kuwa ni ndoto kama ndoto nyingine ambazo sio lazima iwe kweli
Naamini ninachoamini huyo ndo rais wetu ni heri huyu mzalendo kuliko alijenga nyumba uarabuni huku akiwachangisha michango ya chama. Asante mungu kwa kuanza kutuonyesha ukweli kati ya Mbowe na Lowassa yupi mwadilifu. Kichapo cha Tshangirai kule Zibambwe kinawasubiri 2015.
Naamini ninachoamini huyo ndo rais wetu ni heri huyu mzalendo kuliko alijenga nyumba uarabuni huku akiwachangisha michango ya chama. Asante mungu kwa kuanza kutuonyesha ukweli kati ya Mbowe na Lowassa yupi mwadilifu. Kichapo cha Tshangirai kule Zibambwe kinawasubiri 2015.