Rebuild
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 3,664
- 7,259
Iko hivyo.Kweli mr ukichanganya akili vizuri ajira inakupa utajiri ni akili tu na mipangi na MUNGU basi
Mimi siwezi beza waliojariwa
Iko hivyo.Kweli mr ukichanganya akili vizuri ajira inakupa utajiri ni akili tu na mipangi na MUNGU basi
Mzee wanguuKujiajiri ni wito ambao sio wa kila mtu. Hatuwezi kutengemeza uchumi wa watu waliojiajiri tu
Baada ya kukosa nafasi kama wao umebaki kuwa mcha-mbuzi.Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.
Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko mtwara ndani ndani ni vilio tu vya kunyimwa fedha za kujikimu, kutopandishwa madaraja na kadhalika na kadhalika. Waajariwa wengi ni watu manungaembe akili zao ziko dormant.
Mkome kabisa, mlishindwa ata kukaanga vitumbua mkapange barabarani???😂😂😂
Huko ni kutafuta mtaji wa kilimo au biashara!Wanajukwaa kweli nimeamini kuajiriwa ni utumwa,ukiingia jukwaa la ajira na tender ndo utajionea waajiriwa walivyo na hali ngumu.
Kila kona ni vilio na kero. Kuanzia halmshauri ya Itigi mpka uko mtwara ndani ndani ni vilio tu vya kunyimwa fedha za kujikimu, kutopandishwa madaraja na kadhalika na kadhalika. Waajariwa wengi ni watu manungaembe akili zao ziko dormant.
Mkome kabisa, mlishindwa ata kukaanga vitumbua mkapange barabarani???😂😂😂
Hahaha kwa ajira gani? Hizi za halmashauri ya itigi ?? Sijawai ata kufikiria ,akili yangu iko juu kushinda vtu kama ivo.Baada ya kukosa nafasi kama wao umebaki kuwa mcha-mbuzi.
Huna hizo akili bwana mdogo. Wenye akili hawana hata huo muda wa kufuatilia hayo mambo. Sema nakutakia mapambano mema na wewe upate kanafaso ili hasira zipungue.Hahaha kwa ajira gani? Hizi za halmashauri ya itigi ?? Sijawai ata kufikiria ,akili yangu iko juu kushinda vtu kama ivo.
Hakuna namna