Uwa zuri
Senior Member
- Feb 24, 2023
- 104
- 176
Malizia story basi 🙄🙄Niliwahi kukutana na mmoja ana mizimu, skumoja ikapanda wakati napiga show..... mkuu yani sikuangalia cha mizimu wala majini, miniliendelea kugonga show kilicho nikuta sinto kaa nisahau...😜😜