Nimeamini kila shetani na mbuyu wake

Niliwahi kukutana na mmoja ana mizimu, skumoja ikapanda wakati napiga show..... mkuu yani sikuangalia cha mizimu wala majini, miniliendelea kugonga show kilicho nikuta sinto kaa nisahau...😜😜
Malizia story basi 🙄🙄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom