- Thread starter
- #21
Kula ulichonacho kwanza, then ndio utafute kingine
Sio Vyote Viliwavyo Lazima Uvile.
Kula ulichonacho kwanza, then ndio utafute kingine
Huyu Rafiki Yuko Social Sana. Kumuuliza Anasema Kuwa Mi Sio Wa Kwanza Kufanyiwa Hivo. Akaniambia Mtu Aliyemfanyia Huo Ufuska. Bahat Alkua Ni Rafki Angu.Kumpandia Hewan Anasema" Nlivoskia 2 Saut Yake Nkakata Sm" Hivyo Inaoyesh Ana Experience.
ww gegeda wote kulalek
Basi Jamani, Kuna Dem Nlikua Namfukuzia Ila Akakataa Kunipa No. Za sim, Nikamuomba Rafiki Yake(wakike Ambaye Pia Ni Rafiki Angu) Anipatie Zile No. Chakushangaza Ananipa No. Zake, Je Ana Maana Gan?
kwa hiyo huyu binti alikua rafiki ako bila wewe kua na namba yake?...
hapana mi nisingeweza kumsaliti best yangu
kumsaliti vipi wakati siyo wapenzi bali wanafukuziana tu.......unakamata fursa hapo.....kama best anaringa.....
hahaha akija kujua sasa kama we uliziba njia na urafiki unaisha
Leo bunge linaanza saa ngapi????