hahaha huyo rafiki yake anakupenda anajua kutumia fursa
lakn naamin hata ww ungeweza kufanya hivyo eti??
hapana mi nisingeweza kumsaliti best yangu
labda unamsaliti kivip? Wakat yeye anamchomolea jamaa? Labda kama mwanaume hayuko vizr lakn kama ni kitu bomba... Mbona unaingia tu... Kwan unafikir wanaoliwa mtu na rafikiye wanakuwaje?
hahaha huyo rafiki yake anakupenda anajua kutumia fursa
Hata Kama Mi Sina Willing Nae Iweje Afanye Ivo?
sasa ukute unataka ku over take na mwanaume hajakupenda ni aibu ya nani hapo
anamaana ya kuwa ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno.......
Hata Kama Mi Sina Willing Nae Iweje Afanye Ivo?
Ndio Mtu Wang Mbona Sjakupata Una Maana Gan?
embu tumulize kitu baada ya yeye kukupa namba imefika wapi mpaka sasa mmmmh
eti baada ya kukupa namba ww umechukua jukum gani? Kwasababu kuna kale ka kauli ka mpende akupendaye