Nimeamini 65% Wananchi wameichoka CCM

Nimeamini 65% Wananchi wameichoka CCM

SUNGURA-MJANJA

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
200
Reaction score
33
Huu ni utafiti wangu sijui wewe..Nilivaa t-shirt ya CCM na kofia nikawa napita mitaani, nilichokumbana nacho ni zomea zomea wengine wananiangalia kwa macho makali sana na nilitwa majina mengi sitaki niyaseme.

Niliongea na baadhi ya watu wakasema wameichoka CCM kwa kushindwa kuleta maendeleo miaka 50 ya uhuru, ukiwahoji jiandae kukumbana na vikwazo kibao.

Kwa sasa T-shirt,Kanga,Kofia,Vitambaa sio issue tena kwa baadhi ya wananchi.
 
ONGEA KWA PICTURE
KINANA ALIVYOFANYA ZIARA KIGOMA

3.jpg

4.+Maelfu+ya+watu+akimsikiliza+Kinana+kwenye+mkutano+wa+hadhara+mjini+Kasulu.jpg

3.+Kinana+akihutubia+maelfu+ya+wananchi+Mkutano+wa+hadhara+Kasulu+mjini.jpg


http://ccmchama.blogspot.com/2014/04/kinana-afunika-kasulu-maelfu-wahudhuria.html
 
Huu ni utafiti wangu sijui wewe..Nilivaa t-shirt ya ccm na kofia nikawa napita mitaani, nilichokumbana nacho ni zomea zomea wengine wananiangalia kwa macho makali sana na nilitwa majina mengi sitaki niyaseme.niliongea na baadhi ya watu wakasema wameichoka ccm kwa kushindwa kuleta maendeleo miaka 50 ya uhuru, ukiwahoji jiandae kukumbana na vikwazo kibao. kwa sasa T-shirt,Kanga,Kofia,Vitambaa sio issue tena kwa baadhi ya wananchi.
kwa sasa ccm wanajivunia majeshi kwa upande wa watu wa kawaida hawana labda wananchi ambao bado wako katika yale maeneo yasiyokuwa na maendeleo kama Chalinze, Lakini maeneo yote ya mijini na yenye maendeleo ccm ni adui mkubwa
 
Achakutudanganya na pic mkutanon wanaenda wengi na wote si wanachama wa ccm wanachama ni hao hp wamevaa kijan tu mbele hp, jamaa alichoonge ni kwl kbs kama huamin vaa ngou za ccm,
Tena usiombe uje arusha halafu ukavaa nguo za magamba utapata shida mno!!
 
achakutudanganya na pic mkutanon wanaenda wengi na wote si wanachama wa ccm wanachama ni hao hp wamevaa kijan tu mbele hp, jamaa alichoonge ni kwl kbs kama huamin vaa ngou za ccm,
tena usiombe uje arusha halafu ukavaa nguo za magamba utapata shida mno!!

mimi niko arusha mkuu sijui hata unaongea nini, labda wewe ndio hauko arusha, wewe ni muuza maziwa a.k.a wakata migomba ndio wabishi, kwani wanaodhuria kwenye mikatano wote lazima wawe wa wanachama, wengine ni wananchi hata wasiokuwa na chama, cdm nyie ni walaghai na wanachi wameshajua ulaghai wenu
 
mimi niko arusha mkuu sijui hata unaongea nini, labda wewe ndio hauko arusha, wewe ni muuza mziwa aka wakata migomba ndio wabishi,

Arusha ccm hamna mm nikosakina njoo hapa krb na 7up ww uko arusha gn? Kama unapic za mkutano wa ccm arusha heburu rusha, na wakat unakuja njoo ukiwa umevaa ngou za ccm kama hujalawi.......ti.......wa
 
kwannn alawitiwe acha lugha kalu ww anachosema yeye anauhakika nacho, acha kutuchafulia chafema yetu n kweli c aendae kwenye mikutano n mwanachama ommy uko sahihi sana
 
Arusha ccm hamna mm nikosakina njoo hapa krb na 7up ww uko arusha gn? Kama unapic za mkutano wa ccm arusha heburu rusha, na wakat unakuja njoo ukiwa umevaa ngou za ccm kama hujalawi.......ti.......wa

matusi hayasaidii wala hayanigusi kokote km ulikuwa unasubiri lema ukupe ugali wa kula na watoto imekula kwako, fanyeni kazi vijana, km una lakufanya njoo nikupe kazi, niko kijenge juu hapa mwisho wa hiace
 
HUO UTAFITI WAKO NI WA HUKO KWENU ULIPO WEWE NDO 65% HAWAIPENDI

-NENDA KYELA CCM INAPENDWA WATU ZAIDI YA -80%

-KINONDONI 85%

-DODOMA 98%
-TANGA 78%
-RUKWA 76%
-KAGERA 69%

n.k
kwaiyo icho ki 65% cha mtaani kwenu bado hakina tija kwenye mapinduzi ya kweli ya kuiondoa CCM. Afu istoshe katika iyo asilimia 65% wenye kadi ya kupigia kura/watakao kua na kadi ya mpiga kura ni kama 0.07% tu
wengine wote maneno ya SOKONI MWENYE KELELE NYINGI NDO MSHINDI.
 
kwa sasa ccm wanajivunia majeshi kwa upande wa watu wa kawaida hawana labda wananchi ambao bado wako katika yale maeneo yasiyokuwa na maendeleo kama Chalinze, Lakini maeneo yote ya mijini na yenye maendeleo ccm ni adui mkubwa

Hee unataka kunambia Ilala , Temeke, Kinondoni, Kigamboni,Ukonga ndio kumekuwa shamba sio?
 
HUO UTAFITI WAKO NI WA HUKO KWENU ULIPO WEWE NDO 65% HAWAIPENDI

-NENDA KYELA CCM INAPENDWA WATU ZAIDI YA -80%

-KINONDONI 85%

-DODOMA 98%
-TANGA 78%
-RUKWA 76%
-KAGERA 69%

n.k
kwaiyo icho ki 65% cha mtaani kwenu bado hakina tija kwenye mapinduzi ya kweli ya kuiondoa CCM. Afu istoshe katika iyo asilimia 65% wenye kadi ya kupigia kura/watakao kua na kadi ya mpiga kura ni kama 0.07% tu
wengine wote maneno ya SOKONI MWENYE KELELE NYINGI NDO MSHINDI.

Mkuu weka % za Arusha,Mwanza, Mbeya na Musoma
 
Huu ni utafiti wangu sijui wewe..Nilivaa t-shirt ya ccm na kofia nikawa napita mitaani, nilichokumbana nacho ni zomea zomea wengine wananiangalia kwa macho makali sana na nilitwa majina mengi sitaki niyaseme.niliongea na baadhi ya watu wakasema wameichoka ccm kwa kushindwa kuleta maendeleo miaka 50 ya uhuru, ukiwahoji jiandae kukumbana na vikwazo kibao. kwa sasa T-shirt,Kanga,Kofia,Vitambaa sio issue tena kwa baadhi ya wananchi.
Bora uvae jezi ya MAN United, kuliko T-Shirt na kofia ya CCM ni mzigo.
 
Majina tunayowaita tukigundua wewe ni wale wale ni,fisadi,mchawi,mwizi,mnafiki,pembe za ndovu,wazee wa madawa ya kulevya,wang'oa kucha,
 
Mkuu weka % za Arusha,Mwanza, Mbeya na Musoma

MKOA WA MARA

-MUSOMA MJINI 59% CDM
-BUNDA 70% CCM
-SERENGETI 72% CCM
-TARIME 68% CCM
-RORYA 65%CCM
-MUSOMA VIJIJINI 98% CCM
-MWIBALA 79% CCM

shame on u
bado mnasema Mara ni Ngome ya CDM?
 
Back
Top Bottom