Nimeajiandaa kuanza maisha ya ndoa

Nimeajiandaa kuanza maisha ya ndoa

Habari za leo wana JF. Mimi ni kijana wa miaka 33 na sasa nimeamua kuoa. Mimi nina elimu ya chuo kikuu, nimeajiriwa, na ni Mkristo niliyeokoka. Napenda kujituma katika malengo mbali mbali ya maisha na kwa jinsi hiyo nimepata mafanikio mbali mbali.

Badala ya kueleza mlolongo wa sifa za ninayemtafuta, mimi naamua kutoa nafasi kwa mwanamke yeyote aliye na nia ya kweli anitumie PM akieleza upande wake. Maelezo mazuri yatanivutia kuongea na mhusika na natumaini tutafikia mwafaka. Niko serious sitanii

WEWE JICHATISHE TU HUKU,
WAKATI FORM TWO WENZIO, WANAJIANDAA NA MOCK.
 
Ushauri wangu ni kuwa umeshaongea na mchungaji wako na wazee wa kanisa wakupe ushauri. Hao ndio wazazi wako wa kiroho wa kukuongoza brother. Shortcut will cost you later. Marriage is not an easy things. You need to kneel down and pray and wait upon the Lord otherwise you will end up somewhere.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom