Nimeajiandaa kuanza maisha ya ndoa

Nimeajiandaa kuanza maisha ya ndoa

Kosa kubwa tu ulilofanya
N kusema umeokoka
Ungekuta pm yako ishafloot

Wadada wa jf hawatakag walokole bhn cjui walifanywaga nn na hawa watumish wa mungu
Tehteh Nilikua napendaga mlokole... Nilikua ( past tense
 
Mkuu umeswma elimu yako ni chuo, sawa ila mwanamkwe ndugu yangu omba sana mungu akupe mwanamke na si vinginevyo.
 
wewe lazima ni mlokole feki,huku utawakuta akina delila shauri yako ,
 
Ni jambo la heri kuokoka. Tuko pamoja, Mungu akupe haja ya moyo wako, ila walokole huwa tunaomba tu pia kanisani kwako inawezekana kabisa kupata mtu unayemtaka.
 
Mtoa post usishangae wadau wanliandama neno kuokoka ili ukatishwe tamaa kumbuka njia ya kwenda upotevuni ni pana na waendao huko ni wengi.

Endelea kukaza Uzi utampata wa kufanana nae
 
Kama kweli umeokoka ninaona unakwenda kubaya kwa kujitangaza huku. kwanza kuwa mnyenyekevu. Mafanikio uliyonayo mshukuru tu Mungu. Mke mwema mtu upewa na Mungu na si kwa kujitangaza. Haya ya kujitangaza waachiwe wana wa ulimwengu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom