Mkuu wa jeshi
Member
- Feb 3, 2017
- 28
- 10
Dah!ilikuwa fursa nzuri sana kwangu
Ila tatizo hapo ulipoandika umeokoka ndio niliposhindwa
ila mm cjaokoka ujueDah!ilikuwa fursa nzuri sana kwangu
Ila tatizo hapo ulipoandika umeokoka ndio niliposhindwa
ila mm cjaokoka ujueTatizo wewe ni mkuu wa jeshi![]()
![]()
ila mm cjaokoka ujue
Sifa za unaemtaka ni zipi?
awe kama ww ,awe na namba ya CMU na asipende pesaTehteh Nilikua napendaga mlokole... Nilikua ( past tenseKosa kubwa tu ulilofanya
N kusema umeokoka
Ungekuta pm yako ishafloot
Wadada wa jf hawatakag walokole bhn cjui walifanywaga nn na hawa watumish wa mungu
Sadaka Sadaka Sadaka.. Uchumi wenyewe unazid kutitia khakhaakhaaWengi wao wamekaa tu
Kibiashara
Tatizo wewe ni mkuu wa jeshi
Asa siku nikikuboa si utaniua asee
ata manabii wengi wametoka katika vizazi va jamii zilixopotea kwahiyo! Huenda ngozi yako haitakuja kuonja hata kibao changusiungi mkono hojanenda kanisani wapo wengi hawajaolewa wanaomba usiku na mchana waolewe
hao wanaoomba usiku na mchana wengi umri umewatupa mkonoata manabii wengi wametoka katika vizazi va jamii zilixopotea kwahiyo!
Mkuu umeokoka harafu umeshindwa kumwambia mungu hitaji lako unakuja jf kutafuta mke usilitaje jina bure la bwana mungu wako
atageuka nyani shauri yakeMmmh!aya japo sijakuelewa
ucjali mm nimtendaji zaidi kuliko maneno naiman utanielewaTatizo thread yake haijakaa kiutani so huwenda anamaanisha kaokoka
NapendaWewe hupendi kuiona paradiso nn?