Nimeajiandaa kuanza maisha ya ndoa

Nimeajiandaa kuanza maisha ya ndoa

Dah!ilikuwa fursa nzuri sana kwangu

Ila tatizo hapo ulipoandika umeokoka ndio niliposhindwa
Siku hizi hutumia kigezo hicho kuepuka wapiga dili maana asiposema hivyo atapata fasta wakamuaji .waliokoka kiukweli huwa hawatumii hii njia mke mwema utoka kwa bwana.Brother aseme tu anataka sifa hipi sio asingizie aliye okoka
 
J
Kama kweli umeokoka ninaona unakwenda kubaya kwa kujitangaza huku. kwanza kuwa mnyenyekevu. Mafanikio uliyonayo mshukuru tu Mungu. Mke mwema mtu upewa na Mungu na si kwa kujitangaza. Haya ya kujitangaza waachiwe wana wa ulimwengu.
Jamaa hajaokoka anataka tu alieokoka maana wengi sio mchepuko so aseme tu wazi
 
kwani huku hamna wadada walokole???mbona mnamkatisha tamaa mwenzenu?
 
Unajitoa ufahamu naona,.. Mwenzako wa maisha unamtafuta kama unatafuta mchicha au kiazi sokon!!!!! Think twice Dogo kwanza nenda wakufundishe walezi wako ndo uludi hapa.HUNACHEZA NA VITU VIWILI KWA WAKATI MOJA AMBAVYO NIVIGUMU KUVIRUDISHA NYUMA MARENGO NA MUDA...
 
Habari za leo wana JF. Mimi ni kijana wa miaka 33 na sasa nimeamua kuoa. Mimi nina elimu ya chuo kikuu, nimeajiriwa, na ni Mkristo niliyeokoka. Napenda kujituma katika malengo mbali mbali ya maisha na kwa jinsi hiyo nimepata mafanikio mbali mbali.

Badala ya kueleza mlolongo wa sifa za ninayemtafuta, mimi naamua kutoa nafasi kwa mwanamke yeyote aliye na nia ya kweli anitumie PM akieleza upande wake. Maelezo mazuri yatanivutia kuongea na mhusika na natumaini tutafikia mwafaka. Niko serious sitanii
We muongo haujaokoka
 
Habari za leo wana JF. Mimi ni kijana wa miaka 33 na sasa nimeamua kuoa. Mimi nina elimu ya chuo kikuu, nimeajiriwa, na ni Mkristo niliyeokoka. Napenda kujituma katika malengo mbali mbali ya maisha na kwa jinsi hiyo nimepata mafanikio mbali mbali.

Badala ya kueleza mlolongo wa sifa za ninayemtafuta, mimi naamua kutoa nafasi kwa mwanamke yeyote aliye na nia ya kweli anitumie PM akieleza upande wake. Maelezo mazuri yatanivutia kuongea na mhusika na natumaini tutafikia mwafaka. Niko serious sitanii
Mke mwema hutoka kwa bwana na si kwa jamii forum... Yoh 2:6-8
 
Kosa kubwa tu ulilofanya
N kusema umeokoka
Ungekuta pm yako ishafloot

Wadada wa jf hawatakag walokole bhn cjui walifanywaga nn na hawa watumish wa mungu
Serious Mkuu
Kuna haja ya kufanya kautafiti hapa...
 
Itabidi iwe hvyo...
Mlokole wamemnyanyapaa duh!
Me namshaur arud tu
Kuongeza maomb

Ila kama yupo ausha aende
Saphina aiseee hata maliza week
Kama hajapata mkee

Kuna watt chopaa pake bhana co
Mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom