Lucky One
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 663
- 431
Huyo roho wa bwana aliyemwelekeza aje jamii forum, atakuwa alifoji vyeti...
Sasa Mkuu unataka akae tu Mungu amshushie mke mwema hio haipo inabidi achakalike ka hiv
Huyo roho wa bwana aliyemwelekeza aje jamii forum, atakuwa alifoji vyeti...
Ooh nami nimekua mshamba gafla kama wasukumasimu ya mkononi,lol
Haya njoo tuyajenge mlokole mwenzio niko apa![]()
![]()
namba yake
Mwenyewe mekumiss basi tu umetupa jongoo na mti wakeNenda inbobo kwake mama bahat hizi, nimekumis mbaya
Sasa mbona ume PM?Dah!ilikuwa fursa nzuri sana kwangu
Ila tatizo hapo ulipoandika umeokoka ndio niliposhindwa
Yawezekana hana wokovu wowote, na labda anajutia kusema kaokoka. Yeye alijua nia moja ya vivutio swafi lkn kumbe ndo alipokosea.Kosa kubwa tu ulilofanya
N kusema umeokoka
Ungekuta pm yako ishafloot
Wadada wa jf hawatakag walokole bhn cjui walifanywaga nn na hawa watumish wa mungu
Walokole huwa wanashinda na kukesha kanisani, na huko ndiko roho wa kweli wa bwana hupatikana..akatafute kanisani kwake..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa Mkuu unataka akae tu Mungu amshushie mke mwema hio haipo inabidi achakalike ka hiv
Yawezekana hana wokovu wowote, na labda anajutia kusema kaokoka. Yeye alijua nia moja ya vivutio swafi lkn kumbe ndo alipokosea.
Ninavyojua JF huwa ni last resort Mkuu...hapa kanisani itakuwa kakosa si mchezo kuja huku kutafutaWalokole huwa wanashinda na kukesha kanisani, na huko ndiko roho wa kweli wa bwana hupatikana..akatafute kanisani kwake..

Si ulisema umeolewa!!!Dah!ilikuwa fursa nzuri sana kwangu
Ila tatizo hapo ulipoandika umeokoka ndio niliposhindwa
Hahah hah hah umenifanya nicheke sana, nikukumbushe tu kwamba njia za Mwenyezi Mungu hazichunguziki hata kidogo, ukipanga hili yeye anapanga lile na pia mahusiano yeyote huwa yanatoka kwa Mungu kubwa likiwa ni upendo..so kitendo cha binti kwenda kwenye PM na makubaliano yakawepo na baadae ndoa huo ni mpango wa Mungu! Amini hivyo tu hah hahMkuu umeokoka harafu umeshindwa kumwambia mungu hitaji lako unakuja jf kutafuta mke usilitaje jina bure la bwana mungu wako
Mkuu mungu huonyesha kwa vitendo si matangazo huyu katupa tangazo la kuokoka ndo nilipo pata wasiwasi naeHahah hah hah umenifanya nicheke sana, nikukumbushe tu kwamba njia za Mwenyezi Mungu hazichunguziki hata kidogo, ukipanga hili yeye anapanga lile na pia mahusiano yeyote huwa yanatoka kwa Mungu kubwa likiwa ni upendo..so kitendo cha binti kwenda kwenye PM na makubaliano yakawepo na baadae ndoa huo ni mpango wa Mungu! Amini hivyo tu hah hah
Habari za leo wana JF. Mimi ni kijana wa miaka 33 na sasa nimeamua kuoa. Mimi nina elimu ya chuo kikuu, nimeajiriwa, na ni Mkristo niliyeokoka. Napenda kujituma katika malengo mbali mbali ya maisha na kwa jinsi hiyo nimepata mafanikio mbali mbali.
Badala ya kueleza mlolongo wa sifa za ninayemtafuta, mimi naamua kutoa nafasi kwa mwanamke yeyote aliye na nia ya kweli anitumie PM akieleza upande wake. Maelezo mazuri yatanivutia kuongea na mhusika na natumaini tutafikia mwafaka. Niko serious sitanii
Kosa kubwa tu ulilofanya
N kusema umeokoka
Ungekuta pm yako ishafloot
Wadada wa jf hawatakag walokole bhn cjui walifanywaga nn na hawa watumish wa mungu

Hata ww??