Tajirimtata
Member
- Jan 28, 2014
- 23
- 8
Nimeachwa na mpenzi wangu niliyempenda toka tukiwa wadogo naumia sana.
Akikuacha na wewe muache........
Pole usijali......utapona tu.........time heals.......
Mpenz wangu kaniacha bila sababu ya maana kisa anataka ku struggle na life yeye mwenyewe nimem bembeleza lakini hanitaki tena naumia sana
Hakuna mapenzi ya udogoni mlikuwa mnapita stage ya ukuwaji tu. kama wewe ni Me tafuta pesa tu ndio jambo la muhinu mengine yatajiseti yenyewe mbele kwa mbele.Nimeachwa na mpenzi wangu niliyempenda toka tukiwa wadogo naumia sana,
pole sana but ni sehemu tu ya maisha ,umeandaliwa hivyo ili siku ukimpata mkweli iwe zawadi kuu toka kwa mungu mwamini mungu atakupitisha ktk hilo gumu na utashinda muombe mungu akuoneshe mtu sahihihBeen loving this Girl All my Life i thought she will be my future wife and now she leaves me in pain without any reason
pole sana but ni sehemu tu ya maisha ,umeandaliwa hivyo ili siku ukimpata mkweli iwe zawadi kuu toka kwa mungu mwamini mungu atakupitisha ktk hilo gumu na utashinda muombe mungu akuoneshe mtu sahihih