Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,080
Katika mahusiano hayo ni mambo ya kawaida
hamna hata mmojaNawaza tu wangapi wamekuja PM baada ya hii message
watakuepoHaha hah.... Uku jamvin kuna madem kweli
nilikapenda lakini. halafu katamu sana.She is just a girlfriend....
Mpotezee
Tukutane pestana au wapi unaona panafaa kwa first date.Hhahahahhaha wee njoo utaleta mrejesho
asante. naomba nifarijiPole mkaka
sio domo zege sana najitahidi mkuu.....ila maumivu yapo.mkuuHongera sana mkuu.kuachwa na demu ni fursa.sijawahi umia hata mara moja nikiachwa.maana kila siku wanazaliwa wapya kabisa.sema kama wewe ni domo zege itakuwa maumivu makali hayo
Kweli?Nikiachwa nafurahiii
Ukiachwa achikamuda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.
Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.
kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.
nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.
kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Mungu anakuona wallah....!Njoo kwangu tuanzishe maisha nipo single miezi 4 . Napenda sana mapenzi ya mbali nakuwa freee
NdiooKweli?
Aiseee uko vizuriNdioo
First time nilipoachwa niliuma sana lakini baada ya hapo nikiachwa fresh navuta chombo ingine maisha yanaendleaAiseee uko vizuri
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.
Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.
kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.
nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.
kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Kaelekea wapi sasa.muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.
Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.
kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.
nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.
kesho naamka nikiwa singo. yote maisha