Nimeachwa na mpenzi wangu

Hongera sana mkuu.kuachwa na demu ni fursa.sijawahi umia hata mara moja nikiachwa.maana kila siku wanazaliwa wapya kabisa.sema kama wewe ni domo zege itakuwa maumivu makali hayo
sio domo zege sana najitahidi mkuu.....ila maumivu yapo.mkuu
 
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Ukiachwa achika
 
mie nilisafiri nikawa bize siku 2-3 msg ikafata mapz yameisha maana yaonekana nimepata mtu sikuwahi jibu ile msg kumbe huku nyuma kapata afande wake. kama miezi mi 4 hivi anaanza jirudi na kusema sijawah mpenda ni njaa ya k ndo ilifanya nimtafute nikigundua ni yeye na kujibu msg kunafata
 
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha

Mwanaume huwa haachwi ila anaacha, au mnaachana. Kuachwa ni udhaifu
 
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Kaelekea wapi sasa.

Ila na wewe kwanini utafute mbali wakati jirani wapo wengi.

BTW. Maumivu ya kuachwa huwa hauazoeleki usijifariji. Kwa kuwa umetambua WAHENGA walimaanisha kusema FIMBO YA MBALI HAIUI NYOKA. Jitahidi kukaa karibu na fimbo
 
Back
Top Bottom