kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 539
- 343
Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Awali ya Yote kama maamuzi yenu mumeyafanya usiku wa leo basi hamjaachana ila nyie wote mnaviburi na hamjui maana ya Ndoa ni nini... Labda nikuulize mambo yafuatayo kama utajisikia huru kunijibu nijibu ila pia kama utaona siyo sawa utawezA KUAACHA kujibu pia..Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Samweli mdogowangu.....Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa