Babrajohanas_gummy
Member
- Oct 3, 2020
- 30
- 36
- Thread starter
- #61
Mmeachana tu juzi leo tayari unataka dushe lingine!Wewe binti tafuta hela.Hakuna kitu kinachotesa kama umasikini wa kipato.Umasikini wa kipato ni baba wa jela zote!
Wewe unaniambia nitafute hela wakati ww mwenyewe huna hela au umesahau siumesema una ndevu na dushe tu kwakunukuu sio mm

