Nime-break up na mpenzi wangu...

Nime-break up na mpenzi wangu...

Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Sifa za unaemtaka sasa zipoje?
 
Sifa za unaemtaka sasa zipoje?
Amechanganyikiwa sasa hata hana uhakika aamini lipi maana aliyekuwa amewekeza kwake alidhani BIBO kumbe BOGA!??? Tunawaambiaga deile anzieni kwa Mungu halafu kuweni faithful, mnasema tusiwapangie maisha yenu. Sasa mbona kuja huku tena jamani!??? Dunia na ulimwengu huu mzuri, ila wapangaji wake chacha!!!
 
Hivi yulemfanya tafiti anaitwa Dr nani vile?
 
Mmeachana tu juzi leo tayari unataka dushe lingine!Wewe binti tafuta hela.Hakuna kitu kinachotesa kama umasikini wa kipato.Umasikini wa kipato ni baba wa jela zote!
 
Tuna picha yako sehemu za nyuma Tuangalie Tabia yako
 
Asa kumbe vipi
Screenshot_20201216-165031.jpg
 
Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Nicheck dm tuyajenge
 
Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Umemjaji sana mwenza wako, ungekua Mungu ungempa hukumu kali sana, ila mienendo ya binadamu sio kama ya Mungu, kwa ufupi hukumpenda tangu awali,

Pia kwanini usiyachukue mazuri yake na ukayakombatia zaidi kuliko kuyatazama mabaya yake kama kinyaa,

Wake up, nobody is perfect
 
Back
Top Bottom