Babrajohanas_gummy
Member
- Oct 3, 2020
- 30
- 36
- Thread starter
- #41
...Angemnunulia Deodorant jamani...Au ushauri TU kuwa aoge Mara mbili
Hayo yote yoteeeeeeee tumesha fanya but ndo ivo mambo yalikua mengi na mengi ooouf
...Angemnunulia Deodorant jamani...Au ushauri TU kuwa aoge Mara mbili
Uleeeeee msemo wa ^|Ukipenda BOGA, sharti lipende na UA lake|^ hivi kwani hauaplai kwene hii sichuesheni!???Hayo yote yoteeeeeeee tumesha fanya but ndo ivo mambo yalikua mengi na mengi ooouf
Sifa za unaemtaka sasa zipoje?Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Amechanganyikiwa sasa hata hana uhakika aamini lipi maana aliyekuwa amewekeza kwake alidhani BIBO kumbe BOGA!??? Tunawaambiaga deile anzieni kwa Mungu halafu kuweni faithful, mnasema tusiwapangie maisha yenu. Sasa mbona kuja huku tena jamani!??? Dunia na ulimwengu huu mzuri, ila wapangaji wake chacha!!!Sifa za unaemtaka sasa zipoje?
Hajaweka sifa za anaemtaka at the end anaweza pata kama yule yule aliemwachaSwali zuri sana,
![]()
Wanao oga Mara Moja..hawana shida ..Sasa wewe kwapa linanuka vibaya ,jasho linatema balaa..Kuoga mara mbilimidume unaoga mara moja kwa siku inatosha
Doooh....Haya kila la kheri...umpate unayemtaka akidhi haja zako..Hayo yote yoteeeeeeee tumesha fanya but ndo ivo mambo yalikua mengi na mengi ooouf
😂😂 Kuna watu harufu huwa haziishi aise hata afanye vipi....Angemnunulia Deodorant jamani...Au ushauri TU kuwa aoge Mara mbili
Nicheck dm tuyajengeNime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Umemjaji sana mwenza wako, ungekua Mungu ungempa hukumu kali sana, ila mienendo ya binadamu sio kama ya Mungu, kwa ufupi hukumpenda tangu awali,Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Wewe huyo...Dedication: Lonely by Akon.
Wewe huyo...