Nime-break up na mpenzi wangu...

Nime-break up na mpenzi wangu...

Hiyo ni indicator kuwa si hubby material; amesoma vitabu viiiiingiiiii mpaka vinampanikisha hovyo anashindwa kujenga hoja kwa utulivu. Afadhali angesoma kile kimoja tu cha ^How to Understand Women, Volum One^ kingemsaidia kugundua one crucial point kwamba the moment a gentleman akiargue na habiba, then he is poised to, or rather he has lost it all.

Ndugu yangu km unatongoza basi we tongoza tu...


Maana type km za huyo dada huna haja ht ya kumponda mwanaume mwenzako..

Yupo na stress za kugongwa hovyo ukienda Pm tu unachukua no. Unaenda kujigongea...

Haina haja ya kuwa mwanamke kupata mwanamke kuwa tu mwanaume kwa huyu sio hata mgumu.
 
Ndugu yangu km unatongoza basi we tongoza tu...


Maana type km za huyo dada huna haja ht ya kumponda mwanaume mwenzako..

Yupo na stress za kugongwa hovyo ukienda Pm tu unachukua no. Unaenda kujigongea...

Haina haja ya kuwa mwanamke kupata mwanamke kuwa tu mwanaume kwa huyu sio hata mgumu.
Tatizo lako ni mivitabu ambavyo vimekukoroga na kukubongoa akili. Anyways, njoo ulimwengu uko huku. Ukipona unitag, sawa!??? Acha kumkera huyo binti ana stress hatareeee hutamsaidia kitu kwa vijimambo vyako.
 
Tatizo lako ni mivitabu ambavyo vimekukoroga na kukubongoa akili. Anyways, njoo ulimwengu uko huku. Ukipona unitag, sawa!??? Acha kumkera huyo binti ana stress hatareeee hutamsaidia kitu kwa vijimambo vyako.

Umeelezea matatizo yangu

Ila yako ni kwamba unataka kutumia fursa ya kuniponda mimi ili uwe karibu nae

Sasa mimi nikutoe uoga huyo mwanamke hata ukienda Pm saivi utapata namba yake na unaweza kumfanya unavyotaka

Haitaji juhudi kubwa bro

Vitabu nilivyosoma vishanionyesha na deal na mwanamke wa aina gani...ni mwenye low self esteem lakini ameificha kwenye udhungu koko...Nenda ka prove mwenyewe
 
Umeelezea matatizo yangu

Ila yako ni kwamba unataka kutumia fursa ya kuniponda mimi ili uwe karibu nae

Sasa mimi nikutoe uoga huyo mwanamke hata ukienda Pm saivi utapata namba yake na unaweza kumfanya unavyotaka

Haitaji juhudi kubwa bro

Vitabu nilivyosoma vishanionyesha na deal na mwanamke wa aina gani...ni mwenye low self esteem lakini ameificha kwenye udhungu koko...Nenda ka prove mwenyewe

Pole mwaya we nenda tu kalale usitumie nguvu nyingi kusikika
 
Umeelezea matatizo yangu

Ila yako ni kwamba unataka kutumia fursa ya kuniponda mimi ili uwe karibu nae

Sasa mimi nikutoe uoga huyo mwanamke hata ukienda Pm saivi utapata namba yake na unaweza kumfanya unavyotaka

Haitaji juhudi kubwa bro

Vitabu nilivyosoma vishanionyesha na deal na mwanamke wa aina gani...ni mwenye low self esteem lakini ameificha kwenye udhungu koko...Nenda ka prove mwenyewe

Najiskia vby sana kwa hali ulonayo free ur mind apa watu uwa hawalazimishwi huusika wowote n usitumie nguvu nyingi unacho hitaji nikuvuta pumzi na kushusha pumzi hapa ni JF baba dont take things serious sana free up ur mind and enjoy thee Arena
 
Low self esteem hii ndo shida yako...
Uamuzi ni wako kuitatua au kubaki hivyo hivyo

Hamna povu hapa ni kukusaidia tu
Sasa km unadhani utaipata kirahisi rahisi kwa kujiita babrajohanas mara sijui gummy basi hamnaga kitu km hicho..

Learn to love urself.

Usiku mwema Ningumu karibu kaskazini and i like teasing na pia sijamaanisha chochote kile nilicho kujibu so Amani iwe baina yetu
 
Umeelezea matatizo yangu

Ila yako ni kwamba unataka kutumia fursa ya kuniponda mimi ili uwe karibu nae

Sasa mimi nikutoe uoga huyo mwanamke hata ukienda Pm saivi utapata namba yake na unaweza kumfanya unavyotaka

Haitaji juhudi kubwa bro

Vitabu nilivyosoma vishanionyesha na deal na mwanamke wa aina gani...ni mwenye low self esteem lakini ameificha kwenye udhungu koko...Nenda ka prove mwenyewe
Tayari nakugundua wewe ni type ya wanaume ambao kwenu mwanamke ni just a sex object -- nothing more, nothing less. Ndiyo maana ndoa zenu hazitokaa zidumu unless mkibadilika. Fikiria kibusara japo kwa sekunde basi. And please note kwamba to me friendship of being valuable human to another human by far outweighs the most voluptuous sex experience.
 
Usiku mwema Ningumu karibu kaskazini and i like teasing na pia sijamaanisha chochote kile nilicho kujibu so Amani iwe baina yetu
Hawezi kukuelewa huyo; jina lake tu ^@ni ngumu^ ni incredibly difficult/ngumu ku-pigeon-hole proficiently.
 
Kwenye kunukia Bana ......hapo huwa tabu Sana ........kuna watu wananuka kuoza..........
 
Nime breakup na mpenzi wangu kwa hiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wa kunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke na am not that lonely ila kuna wakati mida kama hii natamani ningekuwa na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio huyu Ex maana toka naingia naye kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua atabadilika.

Na the worst part of it sikuwa naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu na akili ni kojolea huko nilikuwa nasikia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki.

Ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazuri ya kwake yalikuwa mengi.

Sihtaji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits.
Ndiyo maana Capricon inabaki kuwa perfect zodiac sign.
 
Back
Top Bottom