Maskini wee, ushakosea huhitaji kuwaelewa hawa viumbe we nenda nao tu kama kipofu muongoza njia ukitaka kuwaelewa ndivyo hutowaelewaNi kweli, saikolojia pia inasema kuwa mwanamke anapokueleza tatizo lake hahitaji umsaidie, anataka tu atoe ya moyoni baaas!
Saafi, kwenye kile kitabu kikubwa cha 'understanding women' niko ukurasa wa 175300 lakini nimeambulia hili tu hadi sasa!
If you want to understand & be understood, dress up -- vazi liwe soaked ndani ya unassuming love. Put your logics aside and just love.Ni kweli, saikolojia pia inasema kuwa mwanamke anapokueleza tatizo lake hahitaji umsaidie, anataka tu atoe ya moyoni baaas!
Saafi, kwenye kile kitabu kikubwa cha 'understanding women' niko ukurasa wa 175300 lakini nimeambulia hili tu hadi sasa!
Hizi assumptions za wavivu wa kufikiri ndizo zinawaharibia mahusiano.Maskini wee, ushakosea huhitaji kuwaelewa hawa viumbe we nenda nao tu kama kipofu muongoza njia ukitaka kuwaelewa ndivyo hutowaelewa
Hakuna mkuu, mapenzi hayana formula hii inaweza kuwork kwa huyu ukaiapply wewe ukafail, hakuna specific formulaHizi assumptions za wavivu wa kufikiri ndizo zinawaharibia mahusiano.
Hiyo ni assumption nyingine ambayo wengi wanatumia kuhalalisha failures zao. Don't believe everything you hear or read.Hakuna mkuu, mapenzi hayana formula hii inaweza kuwork kwa huyu ukaiapply wewe ukafail, hakuna specific formula
Wewe unahisi mapenzi yana formula mkuu?Hiyo ni assumption nyingine ambayo wengi wanatumia kuhalalisha failures zao. Don't believe everything you hear or read.
Ana senene, dhahabu ya BukobaUna Chura?
Siyo suala la "kuhisi" kama unavyodhani. Umeshajiuliza kwa nini mada ya mahusiano inafundishwa!??? Hivi inafundishwaje kama haina fomyula!??? Those who fail this mtihani ni wale wanaoanza kusolve wrong equation. Aliyegundua MAGAZIJUTO eikeiei BODMAS aliona mbali sana. Hakuna kitu kisicho na fomyula kwenye dunia hii. Hata kifo chenyewe kina fomyula yake matata tu.Wewe unahisi mapenzi yana formula mkuu?
Kuoga mara mbili🙄🙄 midume unaoga mara moja kwa siku inatosha...Angemnunulia Deodorant jamani...Au ushauri TU kuwa aoge Mara mbili
....Umewai kabisa Mkulungwa


angalia vizuri mwandiko wa mwanaume huoDuh ndafu ya xmassAise, kwa hiyo jamaa alikuwa kama beberu![]()
Maliza chuo kwanza binti...pia ukishaulamba mwiko usitukane wakunga
Dedication: Lonely by Akon.
Umri wako please
Mmh. Ww kweli hujui mapenzi. Ungempa somo la kutosha jinsi ya kutatua changamoto ndogo hizo.
engnNime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits
Tengeneza kwanza Simu, inawezekana hii meseji Sivyo ulitaka iende.Nime breakup na mpenzi wangu kwaiyari yangu ila najiskia nahitaji mtu wakunijali na kunitimizia haja zangu kama mwanamke n am not that lonely ila kunawakati mida kama hii natamani ningekua na mtu ambaye nafsi yangu imeridhika nae lakini sio uyu Ex maana toka naingia nae kwenye mahusiano sikuipenda harufu ya mwili wake na mengi sana yaliyo kama kero kwangu ila nilijilazimisha kusonga mbele nikijua ata badilika n the worst part of it sikua naridhika kitandani yani huandaliwi na style ni moja tu n akili ni kojolea uko nlikua naskia kama kutapika vile yani kichefu chefu kile ambacho hakitoki ila hakuna mwenye mabaya tu bila mazuri na mazur yakwake yalikua mengi Ł mtanisamehe nauwandishi cm mbovu n sii taji ushauri ł As a Scorpion sign am just speaking my Mind bcoz i gat no where to dump my bullshits