Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Jemeni kuna nyimbo moja ya Msondo Ngoma aloimba Tx William, Nadhani wengi wenu humu mtakua mnaijua, inayosema.. "Wanaume tumeumbwa mateso! mateso!...kuhangaika...na kupata shida sana...." Hii nyimbo kila nikiisikia huwa najisemea moyoni. " mmh..afadhali nimehama huko hakufai mateso matupu..", Wanaume wengi siku hizi wakiona maisha yamewashinda, utasikia wamejitundika!! Kwa nini jamani ujiue?? Tafuta namna nyingine ya kuweza kuishi lakini sio kujiua!! Nadhani mpaka hapo utakuwa umeshaelewa namna nyingine ya kuishi.......