Niliyoyaona Jijini Mwanza

Njoo VILLA PARK & RESORT usiku ununue madame Bei che au njoo CCM KIRUMBA buku mbili mwisho buku tatu unakula mzigo wa dame pis kali
 
Bangi mbaya sana mwanza Jiji Ina manispaa mbili ILEMELA na nyamagana Sasa utalinganisha na mji wa bangi kwanza jina A town lakin sis rock city
 
Sababu Arusha ni jiji la kitalii sio sehemu ya kufuga ng'ombe
 
Njoo VILLA PARK & RESORT usiku ununue madame Bei che au njoo CCM KIRUMBA buku mbili mwisho buku tatu unakula mzigo wa dame pis kali
Buku tatu demu mkali huo ni uongo..acha kamba.
 
Njoo VILLA PARK & RESORT usiku ununue madame Bei che au njoo CCM KIRUMBA buku mbili mwisho buku tatu unakula mzigo wa dame pis kali

Mkuu mbona unaanza kuichafua mwanza tena? Kweli elfu tatu ni demu mkali kabisa?
 
Mkuu mbona unaanza kuichafua mwanza tena? Kweli elfu tatu ni demu mkali kabisa?
Schafui mm nakaa mwanza hili Jiji Kwa madame ni kama ilivo dar Kwan dar si kna madem buku mbili Sasa washangaa Nini
 
Namba 3&4 ilinishangaza Sana wakati nimefika ila niliwazoea.
 
Ewaaa mwanza is next leval sema wavuta bangi wa Arusha ubishi mwingi
 
Niko huku asee kisukuma nilugha yataifa hapa
Tangiapo Ni kabila kubwa Tanzania inayoongewa na kuelewekwa kwa watu wengi ukiacha kiswahili. Ni Kama Chinese ilivyokwisha kubalika kuwa lugha ya kimataifa kisa inaongewa na watu wengi.

Yaani wasukuma baada ya 100yrs wakiwa wote wamesoma kwa miaka iyo sijui patakuwa panakalika. Na jamaa wamevamia mapori na wanalima ,wanafuga wanafanya biashara yaani kila shughuli ya uzalishaji Mali na wanazaliana so watakuja kuwa wamiliki wa nchi hii nadhani.
Mana watakuwa wanayo ardhi ya kutosha ambayo Ni raslimali muhimu mno.

Cheki Kama wachina walivyoanza kuzagaa duniani. Sema tu Hawa wasukuma wengi sio wasomi wangeweza zagaa kila nchi. Ila wape iyo miaka utakuja kuniambia
 
Suala la muda TU tutatawala hii nchi mfano kule kusini WAKAZI wake wamesinzia sana kama waling'atwa na mbung'o hivo tpo tnachuma tunajenga kwetu
 
Suala la muda TU tutatawala hii nchi mfano kule kusini WAKAZI wake wamesinzia sana kama waling'atwa na mbung'o hivo tpo tnachuma tunajenga kwetu
Mwenyewe nawaza sijui nizame liwale na ng'ombe jike Kama 50 baada ya miaka 10 nadhani nitakuwa Ni untouchable nchi hii. Ardhi ipo ya kutosha na raia kule Ni mwendo wa ngoma tu. Yaani nowdays we're fighting for natural resources. Ama ukipata power tiller Basi wewe unaishia zako huko.
Ila kusini nilipapenda mno. Na smt ukifuga mbuzi wa maziwa wa nyama soko liko karibu hapo dar tu ama uarabuni unapeleka. Yaani sie Ni masikini kichwani. Ile ardhi akija mlowezi pale baadaye tutaaanza kumpiga kuwa akapora ardhi,pia anaishi vizuri Mara anapunja mshahara na kuanza Vita naye Kama kule Zimbabwe ama sauzi.kuna mmoja yupo mbeya analima avocado sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…