Glas
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,242
- 1,188
Wakuu wazima?
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
Nafikiri kuna kapost kangu niliwah post humu kuuliza sehem nzuri ya kupumzika kwa hapa Mwanza.
Sasa kwa kipindi hiki cha wiki 2 nilizokaa huku hay ndo niliyoyaona na kujifunza
1. Wanawake wanapiga kazi sana huku(wanajishughulisha) mida ya jioni barabarani utakutana nao sana wakiuza either matunda, dagaa, samaki, maharagwe yaliyochemshwa tu, nyanya na vikorombwezo vingine4, pia wanachoma mahindi na kuyauza.
2. Wengi wa wasichana huku ni waoga sana hasa kwa strangers.
3. Draft la huku wengi hucheza French( hawajui kuhusu British).
4. Kila wanapokaa hudhani wote ni wa huku hivyo huongea tu kilugha.
5. Hotels and Lodge za huku no bei rahis sana sana huanzia 30k.
6. Mwanza ni mji mzuri sana, una mandhari nzuri kuliko Arusha( kwa mtazamo wangu)
Asanteni wakuu
