TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,958
- 11,354
Bima ya afya kwa wote siyo kwa watumishi wa umma tuKwahiyo kwa akili yako hiyo ndogo unataka wote tukafagie Serikalini ili tulipiwe matibabu kupitia bima?!
Bima ya afya kwa wote siyo kwa watumishi wa umma tuKwahiyo kwa akili yako hiyo ndogo unataka wote tukafagie Serikalini ili tulipiwe matibabu kupitia bima?!
Hayajakukuta mkuu.Dawa ya deni ni kulipa.
Swali ni je itagusa vipimo na dawa zote?Pengine Bima ya Afya Kwa wote itabadili hii Hali hpo baadae.
Duh!Muhimbili ni Nyoko,nina mshikaji wangu ID zake zimeshikiliwa pale mkewe alilazwa siku 5 bill ikaja 2M+ ***** na hakupona now yuko huko Geita kamuachia Mungu.
Mtoto wa sista wangu yeye aligundulika na kansa ya kizazi(Now kapona) aisee ilibaki kidogo tumkimbie pesa zilizokua zinatoka.
NB:Matibabu ni gharama vitu vingi viko juu inabidi serikali ibane matumizi kwnye mambo yasiyokua na msingi ili kusaidia raia wake vinginevyo hatutaenda popote.
Ndio maana ya bima ya Afya maana tutachangia Kila mmjaSwali ni je itagusa vipimo na dawa zote?
Sisi mgonjwa alikuwa anadaiwa 5M.Tumewaachia kadi za NIDA tukasepa na Mgonjwa WETU.🤣🤣Yaani nitibiwe nipone halafu wanizuie kutoka kisa deni, labda sina miguu. Yaani nawaambia kabisa nyumbani jamani nileteeni mayai, chips, samaki niwe nakula kutafuta nguvu ya kutoroka. Siku ya kusepa hawataamini macho yao.
AminaNi mtihani sana, jiran hapa mume wake amelazwa hapo wiki tu mpka milion na zaidi vipimo tu Jana wamelazimisha waruhusiwe na mgonjwa warudi nyumban kwani hawawezi Ku afford hiz gharama, hapa mgonjwa kapewa referal ya mloganzila kwan ndio kuna kitengo kinachodili na mishipa ya fahamu, lakini wamerudi nyumbani kusubiri kadari ya Mungu kama atamponya kiumbe wake au atamchukua maana vikao vya familia vimefika mwisho hawawezi kuchangia tena, Mungu atupe tu afya njema
Muliwezaje kufanya hivyoSisi mgonjwa alikuwa anadaiwa 5M.Tumewaachia kadi za NIDA tukasepa na Mgonjwa WETU.
Ivi muloganzila na mwimbili ni tafauti?Ni mtihani sana, jiran hapa mume wake amelazwa hapo wiki tu mpka milion na zaidi vipimo tu Jana wamelazimisha waruhusiwe na mgonjwa warudi nyumban kwani hawawezi Ku afford hiz gharama, hapa mgonjwa kapewa referal ya mloganzila kwan ndio kuna kitengo kinachodili na mishipa ya fahamu, lakini wamerudi nyumbani kusubiri kadari ya Mungu kama atamponya kiumbe wake au atamchukua maana vikao vya familia vimefika mwisho hawawezi kuchangia tena, Mungu atupe tu afya njema
ajila muhimbili ni ndugu tu wamejaa. kila daktari wa hapo anandugu yake yupo hapo. nikama kuna shida. kuna watu wanaukoo mzima, pale. A joke of an institution.Kwenye Bima nakubaliana na weww hasa bima NHIF haifai kabisa nimekata bima hiyo mwezi wa 4 kwa sh 987000/ mpaka leo hii nahangaika ukienda CCBRT wanakwambia nenda kapate rufaa nimeenda saifee hospital wamesema hawataki kuona.
Kuhusu muhimbili madaktari na wakurugenzi baada ya kuondoka jpm wao wanajiona mungu mtu hata ukienda hospitali ya Jakaya Kikwete ya moyo nayo shida utafikiri hospitali milki yao ajira zenyewe za kiundugu sana wakina moleli
ni sehemu mbili tofauti ila vitengo baadhi vimeamishiwa mloganzilaIvi muloganzila na mwimbili ni tafauti?
Mgonjwa anaendeleaje?Sisi mgonjwa alikuwa anadaiwa 5M.Tumewaachia kadi za NIDA tukasepa na Mgonjwa WETU.🤣🤣
Kipindi cha jiwe,huu upumbavu woote haukuwepo.Hii nchi ni laana