Niliyo yaona katika safari yangu ya Cameroon

Niliyo yaona katika safari yangu ya Cameroon

Uzi mzuri sana, nasubiri atakayekuja kutoa ushuhuda wa nchi kama Gambia, Chad, cabon, Togo..nchi hazisikiki sanaaaa..nchi za ulaya hatuzitaki maisha yao tunayajua kwenye Movie
 
Chad, Gambia Togo na Cameroon kuna free movement na wote wanatumia cefa yani ela ya huku unaenda nayo unaitumia huku.
Uzi mzuri sana, nasubiri atakayekuja kutoa ushuhuda wa nchi kama Gambia, Chad, cabon, Togo..nchi hazisikiki sanaaaa..nchi za ulaya hatuzitaki maisha yao tunayajua kwenye Movie
 
Kwenda Na kurudi Cameroon nauli bei gani? Gharama zingine pia za kuishi fafanua mkuu,eg makazi,
 
Flight go and return ni 1200 USD kuhusu gharama za hotel ukweli siwezi kwambia kwakuwa mimi nina wenyeji kule
Kwenda Na kurudi Cameroon nauli bei gani? Gharama zingine pia za kuishi fafanua mkuu,eg makazi,
 
Mbona ujatwambia kuwa rais wao anaongoza nchi akiwa ufaransa? Yani ata vikao muhimu vya nchi anafinyia kwenye video conference yeye yupo ufaransa mawaziri wapo cameroon.
Ungeanzisha Uzi special kuhusu hilo.
Mleta Uzi kaandika yale yaliyoingia ktk mtima wake.
 
Chad ni nchi yenye magereza mabaya sana kuna jamaa alifungwa kule miaka 5 baada ya kupiga tukio ambalo lilimfanya awe maarufu balaa anasema kusurvive kule inahitaji uwe nunda.
Eti asubuhi mnapewa ugali mgumu na maji hiyo ndiyo menu ya 24hrs so unakula nusu nusu unaichanganya na maji na kuikoroga ier ka uji unahifadh kwenye chupa kwa ajili ya jioni.
Halafu ubabe mwingi eti mle
Uzi mzuri sana, nasubiri atakayekuja kutoa ushuhuda wa nchi kama Gambia, Chad, cabon, Togo..nchi hazisikiki sanaaaa..nchi za ulaya hatuzitaki maisha yao tunayajua kwenye Movie
 
Back
Top Bottom