Niliyo yaona Agakhan Hospital

mi nilishawahi enda hapo mwaka juzi naumwa jino kwelikweli.nilivyoenda kuandikisha reception wakaniuliza nna appointment na dokta?? nikawambia hapana jino limenianza jana yake usiku.sasa maumivu ya jino yana appointment? nikaambiwa sitapata matibabu bila appointment nilijiendea zangu kwa kairuki nikatibiwa fasta.
 
hospitals nchini zinaboa
Agakhan ninaenda mara kibao na kila mara ni kero tu... lazima uwe na masaa ma3 ya kusubiri... ukienda kidogo hali mbaya watakuangalia na utapata treatment

muhimbili nimeshaenda pia nikaumia moyo wangu tu... tena hiyo fast track.... nimelazwa expecting a baby at 4 months.... mimba iko ktk stage ya inevitable abortion... wakaniambia mngoje Dr wako.... Jamani madoctor wanapita hapo ati hawawezi kunisaidia.. Dr nampigia simu anasema yuko mbezi anakuja... ile mimba ikajiterminate bila msaada wa mtu... kiumbe wangu akawa hawezi kutoka bila msaada.... ma dr wananipita tu nawaomba msaada nobody is doing a thing.... siku ya 3 tokea mimba iharibike nikawaomba basi wanisafishe as was obvious nothing was there... maji yalokuwa yanatoka yalikuwa yanaashiria my baby was decaying inside of me... nikawaambia jamani mimi sina mtoto, naomba basi mnipe service if at all hii kitu itaniletea matatizo huko mbele I will sue the hospital... ndio nikasafishwa.... na Dr wangu akafika siku hiyo ya 3... my family ilipomuuliza ulisema uko mbezi , unafika siku ya 3 basi si ungetuma mtu amshugulikie.. akajibu kama mnajitia mna pesa na kwenda hizo hosp zenu private... hapa mlifuata nini??? I almost fainted....

hii ni kali ya mwaka,aisee pole sana imenigusa mno,ilhali kwa "msaada wa watu wa marekani"umetoa mamilioni kuokoa mama na mtoto wengine ndo ivo!!
kwani tuna madaktari siku hizi?ni hasara tupu na uhuni tu yani vijana mateso matupu na kubebwa ktk mitihani
ndo ivo wana private clinics zao uko ndo utaona tabasamu la daktari kwa mgonjwa

sijui tukimbilie wapi!!
 
hii ni kali ya mwaka,aisee pole sana imenigusa mno,ilhali kwa "msaada wa watu wa marekani"umetoa mamilioni kuokoa mama na mtoto wengine ndo ivo!!
kwani tuna madaktari siku hizi?ni hasara tupu na uhuni tu yani vijana mateso matupu na kubebwa ktk mitihani
ndo ivo wana private clinics zao uko ndo utaona tabasamu la daktari kwa mgonjwa

sijui tukimbilie wapi!!

yani... hiyo ya hospital zao mbona ndio imekuwa fashion
huwezi amini huyo dr alienijibu hivo nilikuwa ninaattend clinic yake private hapo upanga-lugalo road
alikuwa ni speacilist hasa na tulikuwa kina mama kibao pale tunamwona.... tulikuwa tunajipanga foleni pale upanga kuanzia asbh na anakuja saa 11 jioni... akifika atawaona hadi midnight depending na foleni.... hapo hana hata nesi... dr yeye, nesi yeye, maabara yeye na hata pharmacist yeye.... basi siku ya clinic mnakuja packed mikeka na picnic basket kwa ajili yake... mie kila nikija niko na mume wangu which i suspect hakupenda

ikaja kuwa baada ya kugundua nina problem akanishauri nitafute another dr ambae incase of any emergency na yeye akiwa hapatikani... maana alikuwa busy hasa... basi nikimkosa muhi2, au pale kwake au ktk simu nina backup plan... which i thought was not a bad idea... kwa vile tuna insurance ofcn nikaanza clinic regency basi aliponiona next akaniuliza umeshapata another dr... mie kwa kudhani he is my doctor nikamwambia ukweli... so nilipoona hali inakuwa tata nikawa nimempa priority ya 1... as ndie nimeanza nae na ni more expirienced... yakanikuta hayo

kati yetu tuliokuwa tunaenda clinic kwake, kuna dada mmoja siku moja alikwenda ana uchungu, mimba ina 5 months.... dr kuogopa lawama akampeleka muhi2... basi huku na kule ikabidi mtoto azaliwe ingawa ndio hivyo tena 5months bongo mtihani... mdada akafanikiwa kujifungua mtoto hakuishi... anasubiri placenta uchungu tena mmh wakamsupport mtoto wa pili... imagine at 5 months dr hakujua it is a multiple pregnancy... baadae placenta ikatoka... karudi home.. kapoteza wawili ana machungu... usiku tumbo linauma... akarudishwa muhimbili... dr akaitwa kumcheki hawaelewi whats up.. kupigwa ultra sound kuna mtoto wa 3 anataka kutoka... ikabidi kum-operate... sasa imagine stress za kupata matibabu halafu hao speacilists ndio hivo... yule dr sidhani kama bado anaishi kwa sababu mmh sijui
 
u might be right... ila tutaenda wapi? pamoja na matatizo yote bado tunarudi huko huko kila kukicha hoping each day is different. Mimi siwezi kudanganya muhimbili sirudi... kila nikifikiria naumia sana... huwa naenda agakhan na regency despite all the above... ila tu nakuwa aggressive sana..

ikija issue isoeleweka nalianzisha, naongea na my service provider (hayo ma-card yao)... ofisi pia... na nikifika kwa dr ninayetaka kumwona ( a true specialist- awe wa mtoto au wa kina mama) namwambia na next time i ask for feedback... inasaidia kidogo as pale regency wale manesi walibadilishwa kule kwa kina mama saivi wanaita wagonjwa kuona drs tu... agakhan nikienda when expecting napishwa kwanza as i am a special pregnant mother sitakiwi kusimama/kukaa muda mrefu wengine wananuna ila dr aliwaambia i have to be given 1st priority as ni mtu wa bed rest... muhi2 nilikata tamaa as nilishaumia twice naogopa....

i guess mwisho wa siku tuangalie tufanyeje ili kuondoa usumbufu ktk matibabu... kwa sababu tunalipia jamani na unapoumwa huhitaji stress yoyote, kama wawanaona service ngumu kwa muda huo bora kukwambia... mie ktk hospitals washanijua (wananiita mkorofi) ila kwa kweli they make me be...
Kwa kweli ni hatari sana, hadi mtu utumie nguvu za ziada wakati una haki zote za kuhudumiwa vizuri. It is shame!
 
Mkuu unachosema ni sahihi lakini kuna muda wa kusubiri ambao unaweza kuelewa.

Hiyo emergency ya Agha Khan ni 'uozo mtupu' (narudia with confidence ..ni 'uozo mtupu'). Niliwahi kupeleka mtoto kupitia hiyo route kwenye sasa nane mchana lakini nilikuja kupata huduma karibia saa mbili usiku! Muda wote huo walinambia nisimpe chochote mtoto (si maji si chakula).

Nilikuwa nikiambiwa subiri..subiri bila hata kuniambia nisubiri kwa muda gani...we almost fought na huyo Dr aliyekuwa ananiambia nisubiri. Ni mpaka nilipowapigia AAR mbele yake na kuwaambia waniletee Ambulance tumpeleke mtoto sehemu nyingine ndipo nilipoona wanaanza kufanya utaratibu wa kutoa huduma.

Hawa ni wauaji kabisa!
 
Kuna rafiki yangu kaenda agakhani jana anasema amesumbuliwa vya kutosha hadi akaamua kuondoka. Na amepoteza pesa karibu elfu 55,000.
Yaani hawa watu kiboko. Tufanyeje kukomesha hili?
 
Aga khan Hospital Dar es salaam ni wazembe mno halafu wana kiburi. Nilimpeleka mgonjwa wangu hapo wakamlaza na kumuandikia antibiotic na calemine lotion akawa amepata nafuu. Wakati anaendelea na matibabu hospitali hapo akaishiwa calemine lotion badala ya kuletewa calemine lotion wakampa dawa ya kuulia wadudu ijulikanayo kama SCABOMA lotion kwa uzembe matokeo yake ngozi yote ikawa inatoka na hatimaye kifo (nina ushahidi dawa ya kuulia wadudu ilitumika) pia nimepeleka malalamiko baraza la madaktari. Badala ya kuomba radhi, wao kwa kiburi wanasema siyo 'big deal' na kwa kuwa ilitumika kimakosa hawawezi kuandika kwenye ripoti ya matibabu ya mgonjwa
 
Aga khan Hospital Dar es salaam ni wazembe mno halafu wana kiburi. Nilimpeleka mgonjwa wangu hapo wakamlaza na kumuandikia antibiotic na calemine lotion akawa amepata nafuu. Wakati anaendelea na matibabu hospitali hapo akaishiwa calemine lotion badala ya kuletewa calemine lotion wakampa dawa ya kuulia wadudu ijulikanayo kama SCABOMA lotion kwa uzembe matokeo yake ngozi yote ikawa inatoka na hatimaye kifo (nina ushahidi dawa ya kuulia wadudu ilitumika) pia nimepeleka malalamiko baraza la madaktari. Badala ya kuomba radhi, wao kwa kiburi wanasema siyo 'big deal'

Pole sana ndugu yangu kwa yaliyokukuta. Uzembe gani huu wa kupeana dawa Za kuulia wadudu!!!
 
Aga khan Hospital Dar es salaam ni wazembe mno halafu wana kiburi. Nilimpeleka mgonjwa wangu hapo wakamlaza na kumuandikia antibiotic na calemine lotion akawa amepata nafuu. Wakati anaendelea na matibabu hospitali hapo akaishiwa calemine lotion badala ya kuletewa calemine lotion wakampa dawa ya kuulia wadudu ijulikanayo kama SCABOMA lotion kwa uzembe matokeo yake ngozi yote ikawa inatoka na hatimaye kifo (nina ushahidi dawa ya kuulia wadudu ilitumika) pia nimepeleka malalamiko baraza la madaktari. Badala ya kuomba radhi, wao kwa kiburi wanasema siyo 'big deal'

Scaboma si dawa ya kuulia wadudu ni dawa ya scabies in kiswahili fasaha UKURUTU.....na sidhn km mgonjwa amekufa sababu ya hiyo dawa huenda ikawa alikua na maradhi mengine yalosababisha afe...
 
Aga khan Hospital Dar es salaam ni wazembe mno halafu wana kiburi. Nilimpeleka mgonjwa wangu hapo wakamlaza na kumuandikia antibiotic na calemine lotion akawa amepata nafuu. Wakati anaendelea na matibabu hospitali hapo akaishiwa calemine lotion badala ya kuletewa calemine lotion wakampa dawa ya kuulia wadudu ijulikanayo kama SCABOMA lotion kwa uzembe matokeo yake ngozi yote ikawa inatoka na hatimaye kifo (nina ushahidi dawa ya kuulia wadudu ilitumika) pia nimepeleka malalamiko baraza la madaktari. Badala ya kuomba radhi, wao kwa kiburi wanasema siyo 'big deal'

Pole sana ndugu yangu,hao ndo madaktari wa kitanzania. Ndo maana wenzetu wanaenda India na German kutibiwa wanayajua haya,sisi wanyonge hatuna chetu!
 
hospitals nchini zinaboa
Agakhan ninaenda mara kibao na kila mara ni kero tu... lazima uwe na masaa ma3 ya kusubiri... ukienda kidogo hali mbaya watakuangalia na utapata treatment

muhimbili nimeshaenda pia nikaumia moyo wangu tu... tena hiyo fast track.... nimelazwa expecting a baby at 4 months.... mimba iko ktk stage ya inevitable abortion... wakaniambia mngoje Dr wako.... Jamani madoctor wanapita hapo ati hawawezi kunisaidia.. Dr nampigia simu anasema yuko mbezi anakuja... ile mimba ikajiterminate bila msaada wa mtu... kiumbe wangu akawa hawezi kutoka bila msaada.... ma dr wananipita tu nawaomba msaada nobody is doing a thing.... siku ya 3 tokea mimba iharibike nikawaomba basi wanisafishe as was obvious nothing was there... maji yalokuwa yanatoka yalikuwa yanaashiria my baby was decaying inside of me... nikawaambia jamani mimi sina mtoto, naomba basi mnipe service if at all hii kitu itaniletea matatizo huko mbele I will sue the hospital... ndio nikasafishwa.... na Dr wangu akafika siku hiyo ya 3... my family ilipomuuliza ulisema uko mbezi , unafika siku ya 3 basi si ungetuma mtu amshugulikie.. akajibu kama mnajitia mna pesa na kwenda hizo hosp zenu private... hapa mlifuata nini??? I almost fainted....

...Sooo saddening. Mpendwa, kwenye hiyo familia yenu hakukuwa hata na Kichwamaji (sorry for that) mmoja ambaye angeweza Kumzaba vibao viwili vitatu vya haja huyo Mpuuzi?? Inawezekana labda na cc wenyewe tunayaendekeza haya kwa kuacha upuuzi kama huu ufanyike bila kuchua hatua instantily, meaning kuchapa vibao ama hata vichwa wahuni hao na kisha hatua za mbele za kuwafikisha hata vyombo vya sheria ama vinavyosimamia waganga? Nyinyi kwa mfano mlichukua hatua gani?
 
yani... hiyo ya hospital zao mbona ndio imekuwa fashion
huwezi amini huyo dr alienijibu hivo nilikuwa ninaattend clinic yake private hapo upanga-lugalo road
alikuwa ni speacilist hasa na tulikuwa kina mama kibao pale tunamwona.... tulikuwa tunajipanga foleni pale upanga kuanzia asbh na anakuja saa 11 jioni... akifika atawaona hadi midnight depending na foleni.... hapo hana hata nesi... dr yeye, nesi yeye, maabara yeye na hata pharmacist yeye.... basi siku ya clinic mnakuja packed mikeka na picnic basket kwa ajili yake... mie kila nikija niko na mume wangu which i suspect hakupenda

ikaja kuwa baada ya kugundua nina problem akanishauri nitafute another dr ambae incase of any emergency na yeye akiwa hapatikani... maana alikuwa busy hasa... basi nikimkosa muhi2, au pale kwake au ktk simu nina backup plan... which i thought was not a bad idea... kwa vile tuna insurance ofcn nikaanza clinic regency basi aliponiona next akaniuliza umeshapata another dr... mie kwa kudhani he is my doctor nikamwambia ukweli... so nilipoona hali inakuwa tata nikawa nimempa priority ya 1... as ndie nimeanza nae na ni more expirienced... yakanikuta hayo

kati yetu tuliokuwa tunaenda clinic kwake, kuna dada mmoja siku moja alikwenda ana uchungu, mimba ina 5 months.... dr kuogopa lawama akampeleka muhi2... basi huku na kule ikabidi mtoto azaliwe ingawa ndio hivyo tena 5months bongo mtihani... mdada akafanikiwa kujifungua mtoto hakuishi... anasubiri placenta uchungu tena mmh wakamsupport mtoto wa pili... imagine at 5 months dr hakujua it is a multiple pregnancy... baadae placenta ikatoka... karudi home.. kapoteza wawili ana machungu... usiku tumbo linauma... akarudishwa muhimbili... dr akaitwa kumcheki hawaelewi whats up.. kupigwa ultra sound kuna mtoto wa 3 anataka kutoka... ikabidi kum-operate... sasa imagine stress za kupata matibabu halafu hao speacilists ndio hivo... yule dr sidhani kama bado anaishi kwa sababu mmh sijui

sidhani huyo kweli ni specialist, mimi junior dr but ulichoandika ni blunder ambayo labda medical attendant ndo atafanya na nikutie moyo tu kwamba udaktari kama proffession nyingine sio elimu pekee ni vitu vitatu: knowledge,Attit
ude na skills. ukikosa kimoja lazima uharibu.
 
Kuna rafiki yangu kaenda agakhani jana anasema amesumbuliwa vya kutosha hadi akaamua kuondoka. Na amepoteza pesa karibu elfu 55,000.
Yaani hawa watu kiboko. Tufanyeje kukomesha hili?

Inabidi msiende huko.
 
Mnazungumzi Agakhan ya wapi? Nyie badala ya kutaka huduma nzuri kwenye hospitali za serikali mnapiga kelele kwenye mali za wahindi? Ibane serikali yako iimarishe huduma ktk hospitali zake mwende huko.:D
 
Scaboma si dawa ya kuulia wadudu ni dawa ya scabies in kiswahili fasaha UKURUTU.....na sidhn km mgonjwa amekufa sababu ya hiyo dawa huenda ikawa alikua na maradhi mengine yalosababisha afe...

Boksi la scaboma lina onyo kuwa isitumike kwenye michubuko inaweza kuunguza ngozi na huyo mgonjwa alilazwa kwa sababu ya michubuko iliyotokana na viral infection sasa kumpa mgonjwa scaboma lotion badala ya calemine lotion ilikuwa sawa? Mkemia mkuu anakiri ilifanyika uzembe.
 
Dada pole. Masahibu uliyosema unaweza hata kuandika kitabu.

yani... hiyo ya hospital zao mbona ndio imekuwa fashion
huwezi amini huyo dr alienijibu hivo nilikuwa ninaattend clinic yake private hapo upanga-lugalo road
alikuwa ni speacilist hasa na tulikuwa kina mama kibao pale tunamwona.... tulikuwa tunajipanga foleni pale upanga kuanzia asbh na anakuja saa 11 jioni... akifika atawaona hadi midnight depending na foleni.... hapo hana hata nesi... dr yeye, nesi yeye, maabara yeye na hata pharmacist yeye.... basi siku ya clinic mnakuja packed mikeka na picnic basket kwa ajili yake... mie kila nikija niko na mume wangu which i suspect hakupenda

ikaja kuwa baada ya kugundua nina problem akanishauri nitafute another dr ambae incase of any emergency na yeye akiwa hapatikani... maana alikuwa busy hasa... basi nikimkosa muhi2, au pale kwake au ktk simu nina backup plan... which i thought was not a bad idea... kwa vile tuna insurance ofcn nikaanza clinic regency basi aliponiona next akaniuliza umeshapata another dr... mie kwa kudhani he is my doctor nikamwambia ukweli... so nilipoona hali inakuwa tata nikawa nimempa priority ya 1... as ndie nimeanza nae na ni more expirienced... yakanikuta hayo

kati yetu tuliokuwa tunaenda clinic kwake, kuna dada mmoja siku moja alikwenda ana uchungu, mimba ina 5 months.... dr kuogopa lawama akampeleka muhi2... basi huku na kule ikabidi mtoto azaliwe ingawa ndio hivyo tena 5months bongo mtihani... mdada akafanikiwa kujifungua mtoto hakuishi... anasubiri placenta uchungu tena mmh wakamsupport mtoto wa pili... imagine at 5 months dr hakujua it is a multiple pregnancy... baadae placenta ikatoka... karudi home.. kapoteza wawili ana machungu... usiku tumbo linauma... akarudishwa muhimbili... dr akaitwa kumcheki hawaelewi whats up.. kupigwa ultra sound kuna mtoto wa 3 anataka kutoka... ikabidi kum-operate... sasa imagine stress za kupata matibabu halafu hao speacilists ndio hivo... yule dr sidhani kama bado anaishi kwa sababu mmh sijui
 
Hiyo ya wahindi nami niliwahi kuiona. Nilienda kutibiwa pale. Wengi tulikuwa kwenye foleni ya kumuona dokta. Lakini tukaona kila akija mhindi tu anachungulia mlango wa dokta dokta anamuita moja kwa moja ana m consult. Walikuwa hawakai foleni

kwakweli inauma sana kuona haya yanafanyika kwenye hospitali ya private na kubwa kama hyo alafu nimeona matatizo sana kwa wanaotumia card za huduma ya afya nimeona aar pia ukitibiwa na card yani wanakuona kama unatibiwa kwa msaada utapewa huduma kwa kusuasua sana sasa cjui tatizo liko wapi jamani alafu wahindi wana ubaguzi wa wazi sana tena sana ukienda pale utaona na akilalamika anasikilizwa fasta sasa bora waseme hii ni ya wahindi tu ili tusipoteze mda
 
Scabies: A skin infection caused by the mite 'SARCOPTES'. The female mite tunnels in the skin to lay her eggs and the newly hatched mites pass from person to person by close contact (Oxford medical dictionary). Labda wataalam watueleze madhara yanayoweza kutokea endapo scaboma lotion ikipakwa kwenye michubuko madhara yake yanakuwaje. Watengenezaji wanaonya kuwa isitumike kwenye michubuko. Baada ya ngozi ya mgonjwa kuharibika kwa kiwango kikubwa,maji mengi yakawa yanapotea. Kudhibiti upotevu huo wa maji, waliniagizia nikanunue Albumin (prescription na invoice ninayo) ilipofika chupa ya saba mgonjwa akafariki. Nilipowaomba ripoti ya matibabu wakakataa kuandika Scaboma na Albumin.
 
Back
Top Bottom