BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Niliwahi kusema CCM wanapenda namba lakini hawajui hesabu. Hizi shida zote wanazopata hadi kulaghai akina Mzee Halima na wenzake zingeweza kuepukika kama wange-apply akili kidogo tu kwenye uchaguzi. Katika majimbo 274 ya uchaguzi wangeachia hata majimbo 50 tu kwa upinzani, halafu "wakajizolea" 224 yaliyobaki.
Kwa kufanya hivyo wangepata faida zifuatazo;
1. Wangeweza "kuulaghai" ulimwengu (hasa mabeberu) kwamba uchaguzi ulikua huru na haki.
2. Wangeepusha mgongano kati ya vyama vya siasa na tume ya uchaguzi.
3. Wangejihakikishia kuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
4. Wangejihakikishia kwamba zile kamati 3 (PAC, LAC na POAC) ambazo tumetunga sheria kwamba ni lazima ziongozwe na upinzani, zinapata wapinzani wa kuziongoza.
5. Siri(kali) ingejihakikishia kuvuna "matrilioni" kiulaini kutoka kwa mabeberu kutokana na kamati hizo kuongozwa na upinzani.
Lalini hakuna aliyeliona hili. Sio waziri, sio mbunge, RC, DC wala watu wa system. Hapo ndo utaamini chama chakavu hakina "think tank" kabisa. Labda wangemshirikisha ndugu yangu Thadei Ole Mushi angeweza kuwasaidia maana kichwa chake kina akili nyingi sana kabla hajanywa mbege.
Lakini wote walikua wanashangilia "uchafuzi" wa "TANO TENA" na kufurahia upinzani kufutika bungeni. Ghafla wanakuja kugundua bila upinzani bungeni kuna matrilioni wanapoteza. Wakalazimika kubuni "mbwinu" za kuwahadaa akina mzee Halima na wenzake.
Kumbe wangekua smart tangu mwanzo huu mchezo ulikua unaisha mapema sana bila hata kelele. Hii mijitu inapenda namba lakini haijui hesabu.!
Kwa kufanya hivyo wangepata faida zifuatazo;
1. Wangeweza "kuulaghai" ulimwengu (hasa mabeberu) kwamba uchaguzi ulikua huru na haki.
2. Wangeepusha mgongano kati ya vyama vya siasa na tume ya uchaguzi.
3. Wangejihakikishia kuwepo kwa kambi rasmi ya upinzani bungeni.
4. Wangejihakikishia kwamba zile kamati 3 (PAC, LAC na POAC) ambazo tumetunga sheria kwamba ni lazima ziongozwe na upinzani, zinapata wapinzani wa kuziongoza.
5. Siri(kali) ingejihakikishia kuvuna "matrilioni" kiulaini kutoka kwa mabeberu kutokana na kamati hizo kuongozwa na upinzani.
Lalini hakuna aliyeliona hili. Sio waziri, sio mbunge, RC, DC wala watu wa system. Hapo ndo utaamini chama chakavu hakina "think tank" kabisa. Labda wangemshirikisha ndugu yangu Thadei Ole Mushi angeweza kuwasaidia maana kichwa chake kina akili nyingi sana kabla hajanywa mbege.
Lakini wote walikua wanashangilia "uchafuzi" wa "TANO TENA" na kufurahia upinzani kufutika bungeni. Ghafla wanakuja kugundua bila upinzani bungeni kuna matrilioni wanapoteza. Wakalazimika kubuni "mbwinu" za kuwahadaa akina mzee Halima na wenzake.
Kumbe wangekua smart tangu mwanzo huu mchezo ulikua unaisha mapema sana bila hata kelele. Hii mijitu inapenda namba lakini haijui hesabu.!