toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kuna watu wana matatizo nadhani ya akili
Baada ya hii barua ya tec kuhusu korona kutoka nikaipost kwa group langu
Ghafla anakuja mtu inbox ananitisha kwamba ananiripoti TCRA kwamba eti nasambaza uongo na uchochezi na kwamba eti nitaeleza vizuri nyuma ya nondo.
There are some people sijui wanajikuta kama kina nani?Hawajui tofauti ya fake news, na habari za uchochezi.
Na mimi nimemwambia akaniripoti vizuri maana hiyo barua ya TEC ni ya kweli wala sio fake news.
Raha sana kuzijua haki zako!
Baada ya hii barua ya tec kuhusu korona kutoka nikaipost kwa group langu
Ghafla anakuja mtu inbox ananitisha kwamba ananiripoti TCRA kwamba eti nasambaza uongo na uchochezi na kwamba eti nitaeleza vizuri nyuma ya nondo.
There are some people sijui wanajikuta kama kina nani?Hawajui tofauti ya fake news, na habari za uchochezi.
Na mimi nimemwambia akaniripoti vizuri maana hiyo barua ya TEC ni ya kweli wala sio fake news.
Raha sana kuzijua haki zako!